• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kiteto Bw. Tamim H. Kambona Afungua Rasmi Mafunzo ya Siku 3 ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu 2020 kwa Wasimamizi Wasaidizi 46 Ngazi ya Kata Leo Tarehe 07.08.2020

Imetumwa : August 7th, 2020

Aliyesimama ni Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kiteto Bw. Tamim H. Kambona ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Akifungua  Mafunzo  hayo Katika Maktaba ya Wilaya ya Kiteto Mjini Kibaya.


Aliyesimama ni Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kiteto Bw. Tamim H. Kambona ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto, Kutoka Kushoto ni Bi. Nakaji Mollel ni Kaimu Afisa Ugavi Wilaya ya Kiteto, Bw. Zabloni Lulandala Afisa Utumishi na Utawala wa Wilaya ya Kiteto

 na Bi. Hdija Boffu Mtunza Hazina wa Wilaya ya Kiteto. Kutoka Kulia ni Bw. Zabloni Ndosi Mwanasheria wa Wilaya ya Kiteto na Bw. Lauenti Kimaro ambaye ni Afisa Uchaguzi Wilaya ya Kiteto.


Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Kiteto Mh. Mwakyoma Katika Akiwa Katika Zoezi la Kuwaapisha Wasimamizi Hao.

Wasimamizi Hao Wakila Kiapo Mbele ya Hakimu wa Wilaya








---------------------------- HABARI KAMILI ----------------------------


Mafunzo haya elekezi yameanza leo tarehe 07.08.2020 hadi tehehe 09.08.2020 katika Maktaba ya Wilaya ya Kiteto. Hata hivyo ajira ya hawa watu inaanzia tarehe 05.08.2020 hadi tarehe 03.11.2020


Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 74 kifungu cha 6 tume imepewa jukumu la kusimamia na kuratibu uendeshaji wa uchaguzi wa Rais na wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa Madiwani kwa Tanzania bara. Hawa ni wasimamizi ngazi ya kata lakini bado watendaji wengine wa vituo watateuliwa siku za mbeleni.


Msimazi huyo wa uchaguzi jimbo la kiteto aliendelea kwa kusema " ndugu washuriki uchaguzi ni mchakato unaoshirikisha hatua na taratibu mbalimbali za kufuatwa na kuzingatia kwa mujibu wa katiba sheria, kanuni na maelekezo ya tume. Taratibu hizo ambazo mtakazo elekezwa kwenye mafunzo ndiyo msingi wa uchaguzi kwa kuwa mzuri na wenye uhalisi, hivyo kwa kuzingatia na kutekeleza taratibu hizo kutapunguza kama siyo kuondoa kabisa malalamiko au vurugu wakati wote wa mchakato wa uchaguzi"


Hata hivyo msimamizi huyu wa jimbo la Kiteto amewaasa wasimamizi wasaidizi hawa wakumbuke hii kazi ya uchaguzi ni muhimu na itakuwa inaangaliwa na watu tofauti tofauti kwa hiyo wafanye kazi hii kwa uadilifu na kwa weledi wa hali ya juu.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • JAMII YAASWA KUZINGATIA HAKI ZA WATOTO.

    June 16, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa