Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Kiteto Ndg. Tamim Kambona akipokea vyeti vya ushindi wa bidhaa za maziwa kutoka kwa kaimu Afisa mifugo (W) Lunonu Sigala vilivyotolewa kwa Kiwanda cha maziwa cha Kibaya Dairy Products kilichopo katika mji mdogo wa Kibaya wilayani Kiteto.Vyeti vitatu ,pamoja na medali tatu za shaba vimetolewa kama zawadi kwa kiwanda cha Kiwanda hicho baada ya kushika nafasi ya tatu katika uzalishaji wa bidhaa za maziwa. Aliyesimama katikati ni Afisa mipango ( W) bibi Beatrice Lumbeli
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Kiteto Ndg. Tamim Kambona akionyesha medali za shaba zilizotolewa pamoja na vyeti kama zawadi ya ushindi kwa bidhaa za maziwa kwa kiwanda cha Kibaya dairy products kilichopo katika mji mdogo wa Kibaya wilayani Kiteto, katika wiki ya maziwa.
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Kiteto Ndg. Tamim Kambona( Aliyesimama katikati( akizungumza na wachezaji wa UMISETA wakati akifungua kambi ya wiki moja kwa ajili ya kuwapata wachezaji wa kwenda kucheza mkoani.
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Kiteto Ndg. Tamim Kambona akisalimiana na wachezaji baada ya kuzungumza nao. Aliyeko nyuma yake ni Afisa elimu Sekondari ( W) Ndg. Mtinga Maleya.
Jengo la ofisi za halmashauri ya wilaya ya Kiteto katika hatua mbalimbali za ujenzi
Kibaya-Kiteto
Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto
Simu ya Mezani: +255 027-2552099
Simu ya kiganjani:
Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz
Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa