• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Rasilimali watu na Utawala


Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto ina jumla ya Idara (13) na Vitengo sita (6). KunaTarafa saba (7), Kata ishirini na tatu (23), Vijiji sitini na tatu (63) na Vitongoji miambili themanini na moja (281).

Kimsingi Idara ya Utumishi na Utawala katika kutekeleza majumu yake inazingatiamisingi ya utawala bora katika kutoa huduma bora kwa watumishi na jamii kwa ujumla.

Majukumu ya Idara

i. Kuandaa bajeti ya mishahara na ikama ya watumishi.

ii. Kutafsiri na kushughulikia miundo ya Utumishi.

iii. Kuajiri kwa kuomba vibali vya ajira Utumishi Makao Makuu.

iv. Kupandisha vyeo na kuthibitisha watumishi kazini.

v. Kusimamia na kushughulikia maadili na nidhamu za watumishi kwakuzingatia Sheria, Kanuni na Miongozo iliyopo.

vi. Kusimamia na kuhakikisha vikao na mikutano yote ya kisheri na kikanuni Katangazi zote inafanyika.

vii. Kuandaa na kusimamia mpango wa mafunzo kwa watumishi wakiwa nje nandani ya vituo vya kazi.

viii. Kushughulikia mafunzo ya kuwajengea uwezo Watumishi, WaheshimiwaMadiwani na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa.

ix. Kutathimini utendaji kazi wa watumishi.

x. Kushughulikia mambo ya itifaki kwa watumishi.

xi. Kufanya ukaguzi wa Payroll ya mishahara kwa kwa kushirikiana na wakuu waIdara kila mwezi na kutolea taarifa iwapo kutakuwa na mapungufu au usahihiwa payroll husika.

xii. Kuhakikisha watumishi wote ambao muda wao umefikia ukomo kwa sababumbali mbali wanaondolewa katika payroll kupitia Mfumo wa LAWSON.

xiii. Kuandaa Tange kwa kila robo ya mwaka na mwaka mzima.

xiv. Kutafsiri sheria, kanuni na nyaraka mbali mbali za Serikali katika utumishi waumma.

xv. Kutekeleza miongozo na mazoezi ya kitaifa yanayo tolewa.xvi. Kusimamia ulinzi na usalama wa mali zote za Halmashauri.

xvii. Kushughulikia haki na stahiki za watumishixviii. Kusimamia Mifumo ya usafiri wa magari ya Halmashauri.

xix. Kushirikiana na Taasisi zingine katika masuala mbalimbali ya kiutendaji.Uhakiki wa WatumishiKuanzia mwezi wa Machi 2016 Idara imetekeleza zoezi la uhakiki wa watumishi hewapamoja na uhakiki wa vyeti vya watumishi na sasa bado tunaendelea na zoezi la uhakikikila mwezi kabla ya kulipa mishahara.

Mafunzo

Pia Idara kwa kutumia fedha za LGDG kwa mwaka wa fedha 2016/2017 yametolewamafunzo kwa Waheshimiwa Madiwani kuhusu utawala bora, na Wakuu wa Idara naVitengo nao walipata mafunzo yanayohusu Usambazaji wa Miongozo ya Mfumo waUtekelezaji wa Fedha za Maendeleo Kwenye MSM (LGDG) iliyoboreshwa.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI July 23, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA UTENDAJI WA KIJlJI III August 26, 2021
  • TANGAZO LA KUKODISHA VIBANDA March 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPTEMBA 2023 September 03, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFUNZO KWAAJILI YA MAANDALIZI YA ZOEZI LA UBORESHWAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • TABIA MBAYA ZA WATUMUSHI ZINAHARIBU SIFA ZA TAASISI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KITETO LIMEMPONGEZA RAIS SAMIA.

    May 30, 2025
  • PONGEZI KWA WANANCHI KWA KUTUNZA MAZINGIRA

    April 28, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa