• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

"FANYENI KAZI KWA KUZINGATIA NA KUIHESHIMU MIPAKA YA KISHERIA" – RC SENDIGA

Imetumwa : February 10th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amewaasa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto kuifahamu na kuiheshimu mipaka ya majukumu yao ya kisheria, akisisitiza kuwa mipaka hiyo ndiyo dira ya uongozi wao na ngao muhimu ya kuepuka migongano ya madaraka, migogoro ya kimaslahi pamoja na kuvuruga utawala wa sheria.


Rai hiyo imetolewa leo Februari 10, 2026, wilayani Kiteto wakati akifungua na kufunga Mafunzo Maalumu ya siku mbili kwa Madiwani wa Halmashauri hiyo.

Aidha, Mhe. Sendiga aliwataka madiwani hao kuyachukulia mafunzo hayo kama mwongozo wa kudumu katika utekelezaji wa majukumu yao ya kiuongozi, akisisitiza kuwa uongozi bora haupimwi kwa kauli, bali kwa matendo yenye tija kwa jamii.


Katika muktadha wa maendeleo, aliwahamasisha madiwani kutekeleza majukumu yao kikamilifu kwa kuisaidia Serikali, hususan katika usimamizi wa miradi ya maendeleo na ukusanyaji wa mapato ya halmashauri, akibainisha kuwa uwajibikaji wao una mchango wa moja kwa moja katika kuboresha huduma za jamii.


Kuhusu amani na mshikamano wa kijamii, Mhe. Sendiga aliwaonya madiwani kutojihusisha na migogoro ya ardhi, akieleza kuwa kata yenye migogoro ya ardhi ni ishara ya kutotekelezwa ipasavyo kwa majukumu ya uongozi katika eneo husika. Vilevile, aliwataka kusimamia wananchi kufuata sheria, taratibu na miongozo ya nchi ili kulinda amani, haki na utulivu wa jamii.


Katika sekta ya elimu, aliweka mkazo maalumu kwenye suala la chakula shuleni, akiwataka madiwani kusimamia kikamilifu utekelezaji wa mpango huo ili kuhakikisha kila mzazi anatimiza wajibu wake wa kuchangia chakula cha mtoto wake, akisisitiza kuwa mtoto mwenye lishe bora ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri kitaaluma na kimaadili.


Mafunzo hayo ya siku mbili, yaliyofanyika kuanzia Februari 09 hadi 10, 2026, na kuratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, yamelenga kujenga uelewa wa kisheria, kimaadili na kiuongozi kwa madiwani, ili kuimarisha utawala bora, uwajibikaji na maendeleo endelevu ya Wilaya ya Kiteto.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA MAPOKEZI YA FEDHA SEPTEMBA 2025 September 16, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • "FANYENI KAZI KWA KUZINGATIA NA KUIHESHIMU MIPAKA YA KISHERIA" – RC SENDIGA

    February 10, 2026
  • MAFUNZO MAALUMU KWA MADIWANI YAANZA WILAYANI KITETO

    February 09, 2026
  • JUMUIYA YA HIFADHI YA WANYAMAPORI MAKAME KITETO YANYAKUA TUZO YA SERENGETI KWA UBORA WA UHIFADHI SHIRIKISHI

    February 02, 2026
  • DED KITETO AWAPONGEZA WALIMU KWA KUPANDISHA UFAULU KIDATO CHA NNE

    February 01, 2026
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa