Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TUUENZI MUUNGANO WETU

Imetumwa : April 27th, 2025

Katibu Tawala wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto, Ndg. Mufandii Msaghaa, ametoa rai kwa wananchi kudumisha amani na kuuenzi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.


Rai hiyo imetolewa AprilI 26,2025 katika kata ya Matui kwenye maadhimisho ya Muungano ngazi ya wilaya.


Mbali na kusisitiza kuutunza na kuuenzi Muungano, Ndg. Msaghaa alitoa pia rai ya kutunza amani  haswa katika kipindi hiki ambapo nchi inaelekea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.


Aidha katika maadhimisho hayo, Katibu Tawala huyo alitoa zawadi kwa wananchi waliojibu vizuri maswali yahusuyo mambo ya Muungano.


Katika maadhimisho hayo, elimu mbalimbali ilitolewa ikiwa pamoja na elimu ya  fursa za uwezeshaji wananchi kiuchumi ( mikopo ya 10%) na vitambulisho vya wajasiriamali wadogo ambapo mjasiriamali akuwa nacho anaomba mkopo wenye riba ndogo na masharti nafuu kwenye benki NMB.


Aidha wananchi walipewa elimu jinsi ya kupambana na ukatili wa kijinsia pamoja na elimu kuhusu vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wenye umri wa chini ya siku 90.


Mbali na wataalamu kutoka ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji kutoa elimu mbalimbali, wananchi pia walipatiwa elimu kutoka kwa maafisa kutoka TAKUKURU, Mahakama na NIDA.

Maadhimisho hayo yalihitimishwa na mechi ya mpira wa miguu kati ya timu kutoka Kibaya na timu ya Matui ambao Matui waliibuka kidedea kwa kuwafunga Kibaya magoli 3 kwa 0.


Matangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI July 23, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA UTENDAJI WA KIJlJI III August 26, 2021
  • TANGAZO LA KUKODISHA VIBANDA March 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPTEMBA 2023 September 03, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KITETO TUPO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 27, 2025
  • MAFUNZO KWAAJILI YA MAANDALIZI YA ZOEZI LA UBORESHWAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • TABIA MBAYA ZA WATUMUSHI ZINAHARIBU SIFA ZA TAASISI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KITETO LIMEMPONGEZA RAIS SAMIA.

    May 30, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa