• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WATENDAJI WILAYANI KITETO WAKUMBUSHWA KUONGEZA JUHUDI KATIKA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE.

Imetumwa : January 14th, 2026

Hayo yamesemwa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Kiteto Ndg. Mufandii Msaghaa, wakati akiongoza kikao cha Tathmini ya Utekelezaji wa Afua za Lishe cha Robo ya Pili ya mwaka wa fedha 2025/2026 kilichofanyika Januari 14, 2026.

Ndugu Msaghaa, aliwataka Watendaji wa Kata kuongeza juhudi katika maeneo ambayo hayajafanya vizuri kwenye Kadi Alama ili kufikia wastani mzuri wa utekelezaji wa viashiria vya mkataba wa lishe huku akiwahimiza kuendelea kuwahamasisha wazazi na walezi kuchangia chakula cha wanafunzi shuleni kama njia ya kuimarisha lishe na mahudhurio ya wanafunzi.

Sambamba na hayo Ndugu Msaghaa aliwapongeza watendaji kwa jitihada zinazoendelea kufanyika katika kufikia viashiria vya mkataba wa lishe, akibainisha kuwa hali ya utekelezaji imeendelea kuimarika ikilinganishwa na awali.

Aidha, katika kikao kingine cha Kamati ya Lishe cha Wilaya kinachojumuisha wadau mbalimbali, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto, Ndg. Tellun Ndelwa, aliwataka Maafisa Kilimo kusimamia mashamba ya shule za msingi na sekondari ili kuwajengea wanafunzi uelewa wa kilimo kwa vitendo. Alieleza  mpango huo utawasaidia wanafunzi kujifunza mbinu bora za kilimo, kutunza mazingira na kuelewa nafasi ya kilimo katika maendeleo ya jamii.

Kwa upande wake, Kaimu Afisa Lishe wa Wilaya, Ndg Catherine Massawe alieleza kuwa Wilaya ya Kiteto inaongoza katika Mkoa wa Manyara kwa kuwa na jumla ya mashine 11 za kuongeza virutubishi kwenye nafaka, hatua inayolenga kuongeza thamani ya mazao, kuboresha lishe kwa wananchi na kuimarisha usalama wa chakula.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA MAPOKEZI YA FEDHA SEPTEMBA 2025 September 16, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • JUMUIYA YA HIFADHI YA WANYAMAPORI MAKAME KITETO YANYAKUA TUZO YA SERENGETI KWA UBORA WA UHIFADHI SHIRIKISHI

    February 02, 2026
  • DED KITETO AWAPONGEZA WALIMU KWA KUPANDISHA UFAULU KIDATO CHA NNE

    February 01, 2026
  • KAMATI YA FEDHA YAKAGUA MIRADI YA BILIONI 1.4, YASISITIZA UWAJIBIKAJI

    January 31, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI KITETO LAPITISHA BAJETI YA SHILINGI BILIONI 41.9 KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

    January 27, 2026
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa