Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

Imetumwa : June 10th, 2025

Katika maandalizi ya kuelekea katika mashindano ya UMISSETA Mkoa, timu ya mpira wa Miguu ya UMISSETA Kiteto imewapa kichapo cha bao 3 kwa 1 timu ya mpira wa miguu ya  Kibaya watu wazima yenye mchanganyiko wa wachezaji mahiri.


Mechi hiyo ya kirafiki ambayo  imechezwa Juni 9,2025 katika Uwanja wa Michezo wa Wilayani hapa , ilikuwa na lengo la kuiweka ‘fiti’ timu hiyo ya UMISSETA ambayo inatarajia kusafiri Juni 11, 2025 kuelekea Babati kwaajili ya Mashindano ya UMISSETA  Mkoa wa Manyara.


Mbali na mechi hiyo, timu ya Mpira wa Wavu (Volleyball) nayo ilionekana ikifanya mazoezi katika uwanja huo.


Mbali na mpira wa miguu na mpira wa wavu, michezo mingine ambayo Wilaya ya Kiteto itashiriki katika mashindano hayo ni pamoja na mpira wa pete (netball) kwa wasichana, riadha pamoja na mpira wa meza (table tennis) kwa wavulana na wasichana.


Mratibu wa Michezo ya UMISSETA Kiteto, Mwl. Ibrahim Mmwaja, amesema kwamba wanashauku kubwa ya kutetea makombe yao yote ya mwaka jana kwani wamejiandaa vizuri pia mwaka huu.


“Mwaka jana tulichukua kombe la mpira wa miguu, volleyball, table tennis, usafi na nidhamu,” ameongeza Mmwaja.

Katika ngazi ya Taifa Mashindano ya UMISSETA kwa mwaka 2025, yatafanyika Mkoani Iringa na yameshafunguliwa Juni 9,2025 na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa. Kauli Mbinu katika mashindano hayo kwa mwaka 2025 ni “ Viongozi Bora ni Msingi wa Maendeleo ya Taaluma, Sanaa na Michezo, Shiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwa Amani na Utulivu”


UMISSETA ni Umoja wa Michezo ya Shule za Sekondari Tanzania ambao hukutanisha wachezaji waliochujwa kutoka shule mbalimbali za sekondari. Lengo la UMISSETA ni pamoja na kukuza vipaji vya michezo  miongoni mwa wanafunzi wa shule za sekondari na kuhamasisha ushiriki wa vijana katika michezo kama njia ya kujenga afya bora na nidhamu.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • JAMII YAASWA KUZINGATIA HAKI ZA WATOTO.

    June 16, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa