1: Miradi Iliyokamilika 2016/17 – 2017/18
| Na
|
JINA LA MRADI |
| 1
|
Ujenzi wa miundombinu mradi wa kilimo cha umwagiliaji Olgira kata ya Sunya
|
| 2
|
Ujenzi wa nyumba ya walimu 6:1s/sekondari Sunya
|
| 3
|
Uchimbaji wa kisima cha maji Hospitali ya Wilaya
|
| 4
|
Uchimbaji wa kisima cha maji Ngarenaro
|
| 5
|
Ujenzi wa jengo la mama ngojea katika Hospitali tya Wilaya
|
| 6
|
Ujenzi wa vyoo S/Msingi Kibaya
|
| 7
|
Ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa S/Msingi Kaloleni
|
| 8
|
Ujenzi wa bweni S/Sekondari Kiteto
|
| 9
|
Ukarabati wa nyumba ya Mkurugenzi Mtendaji (w)
|
| 10
|
Ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa kwa ajili ya kidato cha V na VI S/Sekondari Engusero
|
| 11
|
Ujenzi wa uzio katika mnada wa Sunya
|
| 12
|
Ujenzi wa kituo cha maendeleo ya kilimo kata ya Njoro
|
| 13
|
Ujenzi wa miundombinu mnada wa Njoro
|
| 14
|
Ukarabati wa nyumba ya mtumishi zahanati ya Matui
|
| 15
|
Ukarabati wa josho la mifugo Namelock
|
| 16
|
Ujenzi wa zahanati ya Emarti
|
| 17
|
Ujenzi wa nyumba ya walimu 6:1 S/Sekondari Lesoit
|
Kibaya-Kiteto
Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto
Simu ya Mezani: +255 027-2552099
Simu ya kiganjani:
Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz
Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa