Imetumwa : October 27th, 2025
Habari picha ni Wasimamizi wa Vituo vya Kupigia Kura pamoja na wasaidizi wao wakiwa katika siku ya pili na ya mwisho ya mafunzo hayo.
Katika kufunga mafunzo hayo leo Oktoba 27, 2025 wasima...
Imetumwa : October 27th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Mhe. Remidius Mwema, leo Oktoba 27, 2025 ameongoza Matembezi ya Amani yaliyolenga kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwa amani na utulivu kuelekea Uchaguzi...
Imetumwa : October 26th, 2025
Siku moja baada ya mafunzo kwa Makarani waongozaji wapiga kura kukamilika, Tume Huru ya Taifa Uchaguzi Jimbo la Kiteto, imeendelea na mafunzo kwa Wasimamizi wa Vituo na Wasimamizi Wasaidizi wa V...