• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MRADI SHULE MPYA YA MSINGI KATA YA KALOLENI KUPUNGUZA ADHA YA WANAFUNZI KUTEMBEA UMBALI MREFU.

Imetumwa : December 30th, 2025

Maendeleo ya ujenzi wa Shule Mpya ya Msingi katika Kata ya Kaloleni wilayani Kiteto. Mradi huu pamoja na mengine inayoendelea katika Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto inadhihirisha dhamira ya Serikali ya kuhakikisha kila mtoto anapata haki ya msingi ya elimu bora na mazingira rafiki ya kujifunzia.

Mradi huu unajumuisha ujenzi wa madarasa sita ya elimu ya msingi pamoja na vyoo matundu kumi kwa ajili ya wanafunzi wa elimu ya msingi. Aidha, mradi huu inajumuisha vyumba viwili vya madarasa ya awali, vyoo matundu sita kwa wanafunzi wa awali pamoja na uzio katika shule ya awali hatua inayoonesha uwekezaji wa kimkakati katika kuimarisha misingi ya elimu kuanzia ngazi ya awali.

Mbali na hayo mradi huu unajumuisha jengo la utawala pamoja na vyoo vya walimu matundu mawili.

Mradi upo katika hatua ya umaliziaji na kukamilika kwa mradi huu wenye thamani ya shilingi 330,700,000, kutapunguza kwa kiasi kikubwa msongamano wa wanafunzi katika Shule ya Msingi Kaloleni yenye jumla ya wanafunzi 1,594, sambamba na kupunguza umbali mrefu ambao wanafunzi wanatembea kufuata elimu. Mradi huu ni ushahidi wa vitendo wa ahadi ya serikali ya kusogeza huduma za elimu karibu na wananchi na kujenga kizazi kizazi chenye maarifa kwa maendeleo ya Taifa.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA MAPOKEZI YA FEDHA SEPTEMBA 2025 September 16, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MRADI SHULE MPYA YA MSINGI KATA YA KALOLENI KUPUNGUZA ADHA YA WANAFUNZI KUTEMBEA UMBALI MREFU.

    December 30, 2025
  • HABARI PICHA:

    December 23, 2025
  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WILAYANI KITETO WAASWA KUTUMIA MIKOPO HIYO KAMA FURSA KUJIKWAMUA KIUCHUMI.

    December 08, 2025
  • “MSIPOTENDA HAKI, MTAWAJIBIKA KWA MUNGU,” CPA Hawa.

    December 08, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa