• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

69% YA WATAHINIWA WA DARASA SABA WAPATA DARAJA A SOMO LA HISABATI LAALAKIR

Imetumwa : November 28th, 2023

Ikiwa ufaulu  wa somo la Hisabati kwa watahiniwa wote nchini umeshuka na kupelekea 51% ya watahiniwa wote kupata daraja D, upande wa Shule ya Msingi Laalakir Wilayani Kiteto,  wanafunzi 31 kati ya 45, ambao ni sawa na 69%, wamepata ufaulu wa  daraja A katika somo hilo,  13 wamepata daraja B na mwanafunzi mmoja amepata ufaulu wa  daraja C.

Mkurugenzi Mtendaji (W) Kiteto, CPA Hawa Abdul Hassan, pamoja na wakuu wa Idara na Vitengo, Novemba 27, 2023  wametembelea shule hiyo na kuwapongeza walimu kwa kazi nzuri waliyoifanya ambayo imeleta matokeo ya ufaulu huo mzuri ambao wanafunzi wote wamepata daraja A.

Akiongea wakati akimkaribisha  Mkurugenzi Mtendaji (W) na timu ya wataalam aliyongozana nayo shuleni hapo, Afisa Elimu wa Wilaya Awali na Msingi  Papakinyi Kaai,  alisema kwamba, katika tathmini ya ufaulishaji katika Mkoa wa Manyara, Shule ya Msingi Laalakir imeshika nafasi ya pili kwa ufaulishaji kati ya shule za msingi 652 mkoani hapo zilizofanya Mtihani wa Taifa wa kuhitimu elimu ya Msingi 2023 huku  nafasi ya kwanza ikishikwa na shule ya binafsi kutoka Wilayani Simanjiro.

Mkurugenzi Mtendaji amesema kwamba ameona ni vyema yeye pamoja na wataalam kutoka ofisini kwake kwenda shuleni hapo kuwapongeza na kuwatia moyo walimu hao kwa kazi nzuri waliyoifanya. “Tunatambua juhudi zenu katika kuwafundisha wanafunzi, juhudi hizo ndizo zilizopelekea shule hii kupata ufaulu mzuri, tunawaomba muendelee na moyo huo huo ili mpate kufanya vizuri zaidi” aliongeza Mkurugenzi Mtendaji (W) Ndugu Hawa Abdul Hassan.

Akiongea kwa niaba ya walimu wenzake, Mwalimu Mkuu wa Shule  hiyo Ndugu Emmanuel Sanka, alisema kwamba wamefarijika na ujio wa Mkurugenzi na ujumbe alioongozana nao. Mbali na hayo, Ndugu Sanka alisema kwamba shule yake imepata wastani wa 275 na kupata Daraja A bora na aliahidi kwamba mwakani watafanya vizuri zaidi.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI July 23, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA UTENDAJI WA KIJlJI III August 26, 2021
  • TANGAZO LA KUKODISHA VIBANDA March 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPTEMBA 2023 September 03, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • TABIA MBAYA ZA WATUMUSHI ZINAHARIBU SIFA ZA TAASISI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KITETO LIMEMPONGEZA RAIS SAMIA.

    May 30, 2025
  • PONGEZI KWA WANANCHI KWA KUTUNZA MAZINGIRA

    April 28, 2025
  • TUUENZI MUUNGANO WETU

    April 27, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa