• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WILAYANI KITETO WAASWA KUTUMIA MIKOPO HIYO KAMA FURSA KUJIKWAMUA KIUCHUMI.

Imetumwa : December 8th, 2025

Hayo yamezungumzwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto. CPA. Hawa Abdul Hassan Desemba 8, 2025 katika mafunzo yaliyoandaliwa na Halmashauri kwa vikundi vilivyokidhi vigezo vya kupata  mkopo wa Halmashauri wa 10% katika Robo ya kwanza ya mwaka 2025/26.

CPA Hawa alisisitiza umuhimu wa kutumia mikopo hiyo kwa malengo yaliyokusudiwa, hususan kutekeleza miradi waliyoiomba, akibainisha kuwa serikali imeweka rasilimali hizo kwa dhamira ya kuleta maendeleo ya kijamii na kiuchumi katika Wilaya ya Kiteto.

“Nawasisitiza mikopo hiyo mtakayopewa iende ikatumike kama fursa kwenu ya kujikomboa kiuchumi kutoka hatua moja kwenda nyingine lakini kumbukeni kurejesha kwa wakati ili iwe endelevu na wengine waweze kunufaika”, alisema CPA. Hawa.

Aidha, aliwapongeza vikundi vilivyopita vilivyoonesha nidhamu ya marejesho, akisema hatua yao imekuwa chachu ya mafanikio ya mpango huo, huku akiwataka wachache wanaochelewesha kurejesha kubadilika ili wasirudishe nyuma juhudi za serikali katika kuwawezesha wananchi.

Mwisho, CPA Hawa aliwahakikishia wanavikundi kuwa fedha walizoomba zitaingizwa kwenye akaunti zao kufikia Desemba 12 , hivyo aliwataka kujiandaa kuanza utekelezaji wa miradi yao mara moja.

Mafunzo hayo  yametolewa kwa  wanavikundi kutoka kata za Kibaya, Partimbo, Kaloleni na Bwagamoyo, ambapo walipatiwa elimu na miongozo mbalimbali ya kuwaimarisha katika usimamizi wa mikopo na utekelezaji wa miradi yao.

Ikiwa ni mwendelezo wa juhudi za serikali za kuwawezesha wananchi kupitia mikopo isiyorudishwa na riba, katika robo ya kwanza ya mwaka 2025/26, Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto imetoa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 248 kwa vikundi 97 ambavyo zimekidhi vigezo vyote vinavyohitajika katika kupata mkopo wa 10% unaotolewa na Halmashauri.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA MAPOKEZI YA FEDHA SEPTEMBA 2025 September 16, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MRADI SHULE MPYA YA MSINGI KATA YA KALOLENI KUPUNGUZA ADHA YA WANAFUNZI KUTEMBEA UMBALI MREFU.

    December 30, 2025
  • HABARI PICHA:

    December 23, 2025
  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WILAYANI KITETO WAASWA KUTUMIA MIKOPO HIYO KAMA FURSA KUJIKWAMUA KIUCHUMI.

    December 08, 2025
  • “MSIPOTENDA HAKI, MTAWAJIBIKA KWA MUNGU,” CPA Hawa.

    December 08, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa