• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Bahati iliyoje! Mtoto Azaliwa Masaa Machache Kabla ya Uzinduzi wa Zahanati, Apewa Jina la Mkimbiza Mwenge.

Imetumwa : July 14th, 2025

Katika tukio la kipekee lililowagusa wakimbiza Mwenge Kitaifa na umati wa wananchi wa Ngabolo, mama mmoja amejifungua mtoto wa kiume masaa machache kabla ya uzinduzi wa jengo jipya la  zahanati ya Ngabolo uliokuwa ukifanywa na Mwenge wa Uhuru.


Akitoa taarifa hiyo kwa furaha kwa Mkimbiza Mwenge Kitaifa, Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Mhe. Remidius Mwema Emmanuel,  alisema kwamba mama huyo amefurahia sana kujifungua siku hiyo ambayo ni muhimu na maalumu katika zahanati hiyo na kwa kuonesha furaha hiyo ameamua kumpa mwanae jina 'Ismail' ambalo ni jina la Mkimbiza Mwenge wa Kitaifa.


Mkimbiza Mwenge kitaifa, Ndg. Ismail Ali Ussi, alipopewa taarifa hiyo, aliguswa na tukio hilo na kuonesha furaha yake kwa heshima hiyo kubwa aliyopewa.


"Ni jambo la kipakee sana, nimefurahi sana kusikia habari hii. Na kuonesha furaha hii mimi pamoja na wakimbiza Mwenge wenzangu tunatoa zawadi ya shilingi laki tano kwa mtoto huyu", alisema Ndg. Ussi.


Zahanati hiyo ni miongoni mwa miradi mbalimbali inayozinduliwa na Mwenge wa Uhuru mwaka huu.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • "VIJANA JIUNGENI KWENYE VIKUNDI ILI MUWEZE KUNUFAIKA NA MIKOPO YA 10%" - Ussi

    July 14, 2025
  • SEHEMU YA MICHANGO YA MWENGE YATUMIKA KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA.

    July 14, 2025
  • Bahati iliyoje! Mtoto Azaliwa Masaa Machache Kabla ya Uzinduzi wa Zahanati, Apewa Jina la Mkimbiza Mwenge.

    July 14, 2025
  • JESHI LA POLISI KITETO LAPONGEZWA KWA JITIHADA ZA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA

    July 14, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa