• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI KITETO LIMEMPONGEZA RAIS SAMIA.

Imetumwa : May 30th, 2025

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto wameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa fedha za maendeleo zilizopokelewa wilayani hapa katika kipindi cha miaka mitano ambayo wamekaa madarani.

Pongezi hizo zimetolewa kwenye Kikao cha Baraza la Madiwani Robo ya Tatu 2024/2025 kilichofanyika Aprili 29-30, 2025 wilaya hapa. Madiwani hao wamesema kwamba fedha nyingi zimeletwa katika halmashauri na hakuna kata imekosa fedha kwaajili ya miradi ya maendeleo.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Kiteto amesema kwamba Rais Samia alipata uongozi katika kipindi kigumu ambacho dunia ilikua inapitia kwani kilikua kipindi ambacho kuna janga la ugonjwa wa korona na kutokana na hilo uchumi wa dunia ulikua umedorora ila aliweza kulivusha taifa katika kipindi hicho kigumu.

“Kwa ushupavu wake ameliongoza taifa vizuri katika kipindi hicho kigumu. Lakini pia tunampongeza kwa  usimamizi mzuri wa miradi yote ya kimkatati katika taifa  iliyokua imeachwa na Hayati Dr. John Pombe Magfuli, ikiwemo Mradi wa  Bwawa la Mwalimu Nyerere na mradi wa treni ya mwendo kasi”, ameongeza Mhe. Bundala.

Aidha baraza hilo mbali na kumpongeza Mhe. Rais Samia, limetoa pongezi kwa Mkurugenzi Mtendaji, CPA. Hawa Abdul Hassan pamoja na timu ya wataalam kwa usimamizi mzuri wa ukusanyaji wa mapato na usimamizi mzuri wa miradi inayotekelezwa.

“Bajeti ya Halmashauri imeongezeka kutoka 2.5bilioni mwaka 2020/2021 hadi kufikia 4.9  kwa mwaka ujao wa fedha 2025/2026. Kuongezeka kwa ukusanyaji wa mapato kumeiwezesha halmashauri kupeleka fedha nyingi kwenye miradi ili kuhakikisha miradi inakamilika”, ameongeza Mh. Bundala.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA MAPOKEZI YA FEDHA SEPTEMBA 2025 September 16, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DAS KITETO AWAHIMIZA WANANCHI KUJENGA UTAMADUNI WA UWEKEZAJI.

    September 11, 2025
  • UGONJWA WA HOMA YA INI (HEPATITIS B) NI TISHIO LA MAISHA LAKINI TUMAINI LIPO KUPITIA CHANJO

    September 04, 2025
  • DC MWEMA AFUNGUA RASMI ZAHANATI YA ENGUSERO SIDAN

    August 31, 2025
  • SAFARI YA KM 42 KUFUATA HUDUMA ZA AFYA SASA NI HISTORIA NDIRIGISHI

    August 30, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa