• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

BILIONI 13.7 ZATUMIKA KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO KITETO

Imetumwa : November 22nd, 2023

Halmashauri ya Wilaya Kiteto imepokea takribani kiasi cha fedha  shilingi bilioni 13.7 kwaajili kutekeleza miradi ya maendeleo katika sekta ya Afya, Elimu, Utawala, Kilimo na Mifugo.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji (W) Kiteto, CPA. Hawa Abdul Hassan Novemba 22, 2023 Babati Mjini kwenye mkutano na waandishi wa habari wa kueleza miradi ya maendeleo inayotekezwa katika Mkoa wa Manyara.

Akizungumza katika mkutano huo, Mkurugenzi huyo amesema kwamba katika kipindi cha serikali ya Awamu ya Sita ya Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kiteto imetekeleza miradi yenye thamani ya takribani bilioni 6.4 kwenye sekta ya elimu ilhali miradi iliyotekelezwa katika sekta ya afya imegharimu takribani bilioni 2.7.

Upande wa sekta ya Kilimo na mifugo, Kiteto imetekeleza miradi yenye thamani ya kiasi cha fedha takribani bilioni 2.6 na idara ya Utawala wilaya imetekeleza miradi yenye thamani ya takribani shilingi bilioni 2.

“Tunazidi kuishukuru serikali ya awamu ya sita ya Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kusikia na kuzifikia changamoto za wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto. Tunamuombea siha njema yeye pamoja na wasaidizi wake ili waendelee kuwahudumia watanzania” alisema ndugu Hawa Abdul Hassan.

Mkutano huo ambao ulirushwa mubashara na kituo cha runinga cha  ITV, ulihudhuriwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndugu Mobhare Matinyi pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mh Queen Sendiga. Pia mkutano huo ulihudhuliwa na viongozi mbalimbali wa chama na serikali wakiwemo wakuu wa Wilaya zote ndani ya Mkoa wa Manyara na Wakurugenzi watendaji wote katika Mkoa wa Manyara, watumishi pamoja wananchi wa mkoani Manyara.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HAYAWI HAYAWI SASA YAMEKUA: HATIMAYE KALOLENI YAPATA SHULE MPYA YA MSINGI

    July 30, 2025
  • SHULE YA MSINGI KINANGALI NAYO YANUFAIKA NA MRADI WA BOOST

    July 30, 2025
  • SERIKALI YA AWAMU YA SITA YAENDELEA KUWEKEZA KWA VITENDO: KURASH YAPATA MRADI MWINGINE WA MILIONI 153 KUPITIA BOOST

    July 30, 2025
  • KATA YA BWAWANI YAPATA MRADI WA SHULE MPYA YA ELIMU MSINGI.

    July 28, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa