• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

COPA COCACOLA yaongezea nguvu kwa kutoa vifaa vya michezo vyenye thamani ya Shilingi 3,220,000/= kwa shule saba (7) za Sekondari Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto.

Imetumwa : August 13th, 2019

Kuanzia kushoto ni mwakilishi wa Shirika la Copa Cocacola Bw.Omary Sudi katikati ni Afisa Michezo wa Wilaya Bi. Juliana Mtei na kulia ni Bw. Fabia Simon ambaye alipokea vifaa husika kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto leo tarehe 13.08.2019

Bw. Fabian Simon kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji (W) kulia akikabidhiwa baadhi ya vifaa hivyo na Bw. Omary Sudi kushoto katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto 





Picha mbalimbali za waalimu wa Shule za Sekondari husika waliokuwa wakipokea vfaa hivyo na Bw. Omary Sudi kushoto katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto 


 ------------------------------------ HABARI KWA UFUPI --------------------------------

Wafadhili wa Shirika la COPA COCALOLA linalofanya kazi pamoja na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) wametoa msaada wa vifaa vya michezo ambavyo ni Jezi 32, Mipira ya Mpira wa miguu 7 na Mipira ya mpira wa kikapu 7, vifaa vyote hivi vina thamani ya Shilingi 3,220,000/=. Shule saba za Sekondari zilizopata vifaa hivi ni Sunya, Kibaya, Kiteto, Njoro, Dongo, Lesoit na Ndedo zote hizi ni Sekondari za Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto. Lengo kuu la kutoa vifaa hivi ni kuongeza tija katika michezo kuanzia ngazi za chini zikiwemo shule za Sekondari ili kuchochea vipaji vya wachezaji wa mpira nchini.

Kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji Bw. F.Simon ameshukuru sana kwa Shirika hilo la COPA COCACOLA kwa kuipendelea Halmashauri yake kupata vifaa hivi na ameahidi Maafisa na Waalimu husika wanaoshugulikia michezo kutumia vifaa hivyo vizuri na weledi wa hali ya juu ili kuibua vipaji kwa wanafunzi wetu kwa lengo zima la kukuza soka si tu kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto bali na Taifa la Tanzana kwa ujumla wake. Hata hivyo tukumbuke kuwa michezo ni kuendeleza afya bora, Michezo ni ajira na kukuza uchumi kwa sekta mbalimbali ambazo ni mtambuka.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • WALIMU KITETO WAPEWA MAFUNZO YA AFUA JUMUISHI ZA ELIMU YA AFYA SHULENI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa