• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

SAFARI YA KM 42 KUFUATA HUDUMA ZA AFYA SASA NI HISTORIA NDIRIGISHI

Imetumwa : August 30th, 2025

Hatimaye Wananchi wa Kijiji cha Ndirigishi, Wilaya ya Kiteto wamepata neema katika huduma za Afya baada ya Serikali kuwajengea Zahanati katika Kijiji chao na hivyo kuwaondolea adha ya kusafiri umbali wa zaidi ya kilomita 42 hadi Kibaya kufuata huduma za Afya katika Hospitali ya Wilaya.


Zahanati hiyo yenye thamani ya shilingi milioni 87 imefunguliwa rasmi Agosti 29, 2025 na Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Mhe. Remidius  Mwema ambapo wananchi walijitokeza kwa wingi kushuhudia ufunguzi huo.

 

Akizungumza na wananchi waliohudhuria kwenye ufunguzi wa Zahanati hiyo Mhe. Mwema aliwaeleza kuwa Serikali ya Awamu ya sita ina dhamira thabiti ya kuhakikisha huduma muhimu za kijamii zinawafikia wananchi kwa ukaribu zaidi ili kuwaepusha na usumbufu wa kutembea umbali mrefu kufuata huduma.


Sambamba na hayo Mhe. Mwema aliwasihi wananchi hao kutoa ushirikiano kwa wahudumu wa zanahati hiyo kwani wamepelekwa pale kuwahudumia.


Kukamilika kwa zahanati hiyo kutasaidia kupunguza vifo vya uzazi, watoto wachanga na watoto chini ya miaka mitano, pamoja na kuimarisha huduma za chanjo kwa watoto na wajawazito.


Zahanati ya Ndirigishi pia inatarajiwa kuhudumia vijiji jirani, na hivyo kuwa mwanga mpya wa matumaini kwa mamia ya wananchi waliokuwa wakihangaika kwa muda mrefu kufuata huduma za afya katika maeneo ya mbali.


Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA MAPOKEZI YA FEDHA SEPTEMBA 2025 September 16, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • "KURA YAKO HAKI YAKO, JITOKEZE KUPIGA KURA"

    October 27, 2025
  • MHE. REMIDIUS MWEMA AONGOZA MATEMBEZI YA AMANI KUHAMASISHA WANANCHI KITETO KUPIGA KURA

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI WA VITUO WAHIMIZWA KUZINGATIA UADILIFU NA UWAZI WAKATI WA UCHAGUZI

    October 26, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI KITETO AWAASA MAKARANI KUTOKUA CHANZO CHA MALALAMIKO.

    October 25, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa