• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DAS KITETO AWAHIMIZA WANANCHI KUJENGA UTAMADUNI WA UWEKEZAJI.

Imetumwa : September 11th, 2025

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kiteto Ndugu. Mufandii Msaghaa amewasihi wananchi kujenga tabia ya kuwekeza katika mifuko na maeneo mbalimbali ya kifedha ili kujiwekea akiba na maandalizi ya maisha ya baadaye.

Ameyasema hayo Septemba 10, 2025 wakati akifunga Semina iliyojikita kutoa  Utaratibu wa Uwekezaji katika Dhamana za Serikali iliyoendeshwa wilayani Kiteto  na Maafisa kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT).


“Uwekezaji ni njia salama na yenye manufaa kwa wananchi wote wakiwemo wafanyabiashara, watumishi na hata wastaafu kwani hutoa dira ya hapo baadae”. alisema Msaghaa


Semina hiyo  ilihudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo watumishi, wastaafu na wafanyabiashara.


Katika Semina hiyo, washiriki walipata elimu ya kina juu ya utaratibu wa uwekezaji katika dhamana za serikali, aina za dhamana za serikali, jinsi ya kushiriki kwenye manunuzi ya dhamana hizo, pamoja na faida zinazotokana na uwekezaji huo. Sambamba na hayo washiriki walifundishwa namna uwekezaji kupitia dhamana za serikali unavyoweza kumsaidia mtu mmoja mmoja kujiandaa kwa ajili ya maisha ya baadaye na kwa serikali kuongeza mapato ya ndani na kuweza kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo.



Maafisa wa BOT waliondesha semina hiyo walitokea ofisi ya BOT Kanda ya Kaskazini – Arusha, wakiongozwa na Ndugu.Simon Kessy ambaye ni Meneja Msaidizi wa Idara ya Fedha na Utawala.

Hata hivyo Ndugu. Msaghaa aliwaomba maafisa hao kujipanga na kurudi tena Kiteto kutoa elimu zaidi ya uwekezaji, akibainisha kuwa wananchi wengi bado wanahitaji maarifa ya kifedha ili kuimarisha ustawi wao kiuchumi.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA MAPOKEZI YA FEDHA SEPTEMBA 2025 September 16, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • "KURA YAKO HAKI YAKO, JITOKEZE KUPIGA KURA"

    October 27, 2025
  • MHE. REMIDIUS MWEMA AONGOZA MATEMBEZI YA AMANI KUHAMASISHA WANANCHI KITETO KUPIGA KURA

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI WA VITUO WAHIMIZWA KUZINGATIA UADILIFU NA UWAZI WAKATI WA UCHAGUZI

    October 26, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI KITETO AWAASA MAKARANI KUTOKUA CHANZO CHA MALALAMIKO.

    October 25, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa