• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DC MWEMA AFUNGUA RASMI ZAHANATI YA ENGUSERO SIDAN

Imetumwa : August 31st, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Mhe. Remidius Mwema, Agosti 29, 2025, alifungua rasmi Zahanati ya Engusero Sidan ambayo ujenzi wake umegharimu  zaidi ya shilingi milioni 51, hatua inayotafsiriwa na wananchi kama ushahidi wa utekelezaji wa ahadi za Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na  Mhesiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.


Akizungumza katika hafla ya ufunguzi huo, Mhe. Mwema alisema ujenzi wa zahanati hiyo ni sehemu ya mpango wa Serikali wa kusogeza huduma za afya karibu na wananchi hususan vijijini na kuwapunguzia adha  ya wananchi  hao wa Engusero Sidan waliokuwa wakitembea umbali mrefu kufuata huduma za matibabu.


“Uwepo wa zahanati hii ni alama ya Serikali inayojali wananchi wake, Serikali  imedhamiria kuhakikisha kila Mtanzania hata aliye pembezoni anapata huduma bora za afya mahali alipo badala ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma hiyo” alisema Mhe. Mwema ambaye alipokelewa kwa shangwe kubwa na wananchi wa Engusero Sidan.


Wananchi waliokusanyika kwa furaha walimshukuru Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anayeongoza Serikali ya Awamu ya Sita kwa kuona umuhimu wa afya zao haswa kwa upande wa Wanawake wajawazito ambao walikua wanalazimika kwenda umbali mrefu kwenda kujifungua.


Kwa mujibu wa  taarifa ya mradi iliyosomwa mbele ya DC Mwema, Zahanati ya Engusero Sidan inatarajiwa kupunguza vifo vya akina mama na watoto wakati wa kujifungua, kuimarisha huduma za dharura na kuongeza matumaini mapya  kwa jamii hiyo ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikikabiliwa na changamoto za huduma za afya.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DC MWEMA AFUNGUA RASMI ZAHANATI YA ENGUSERO SIDAN

    August 31, 2025
  • SAFARI YA KM 42 KUFUATA HUDUMA ZA AFYA SASA NI HISTORIA NDIRIGISHI

    August 30, 2025
  • WATAALUMU KUTOKA WRRB WATEMBELEA KITETO KUKAGUA MFUMO WA STAKABADHIZA GHALA

    August 28, 2025
  • UJENZI WA TRC ORKINE NA LENGATEI NI HATUA KUBWA KWA MUSTAKABALI WA ELIMU KITETO

    August 20, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa