• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DC MWEMA AAGIZA USIMAMIZI MADHUBUTI WA SHERIA NA ULINZI WA MIUNDOMBINU YA SERIKALI

Imetumwa : January 26th, 2026

Januari 26, 2026, Wilaya ya Kiteto imefanya kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya (DCC) kilichoongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Mhe. Remidius Mwema Emmaniel ambapo katika kikao hicho ametoa  maagizo kwa watendaji wa vijiji kusimamia kwa ukamilifu utekelezaji wa sheria katika maeneo yao.


“Usimamizi madhubuti wa sheria ni miongoni mwa njia muhimu za kuzuia na kutatua migogoro inayojitokeza katika jamii, hususan migogoro ya ardhi na matumizi ya rasilimali”, alisema Mhe. Mwema

Aidha, amewataka Maafisa Kilimo na Mifugo wa kata kuhakikisha wanaufahamu kwa kina mipango ya matumizi bora ya ardhi katika maeneo yao ili kuwaelekeza wakulima na wafugaji kufanya shughuli zao katika maeneo sahihi, jambo litakalosaidia kupunguza migongano na kuongeza tija katika uzalishaji.


Katika hatua nyingine, Mhe. Mwema  alisisitiza umuhimu wa utunzaji wa miundombinu ya umma, akibainisha kuwa Serikali imewekeza fedha nyingi katika ujenzi wa majengo ya serikali, miundombinu ya maji, barabara na umeme. Ameeleza masikitiko yake kuona baadhi ya miundombinu hiyo ikiharibiwa na wananchi, na kuwaagiza watendaji kuhakikisha sheria zinasimamiwa ipasavyo ili kulinda miundombinu hiyo.

Kikao hicho pia kilipokea uwasilishaji wa rasimu ya bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027 kutoka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri pamoja na taasisi mbalimbali za serikali zikiwemo TARURA, RUWASA, KIUWASA na TANESCO. Mbali na bajeti, taasisi hizo ziliwasilisha pia taarifa za utekelezaji wa miradi katika bajeti iliyopita.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA MAPOKEZI YA FEDHA SEPTEMBA 2025 September 16, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DC MWEMA AAGIZA USIMAMIZI MADHUBUTI WA SHERIA NA ULINZI WA MIUNDOMBINU YA SERIKALI

    January 26, 2026
  • WATENDAJI WILAYANI KITETO WAKUMBUSHWA KUONGEZA JUHUDI KATIKA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE.

    January 14, 2026
  • KITETO YAJIPANGA KIKAMILIFU KUTEKELEZA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 07, 2026
  • MRADI SHULE MPYA YA MSINGI KATA YA KALOLENI KUPUNGUZA ADHA YA WANAFUNZI KUTEMBEA UMBALI MREFU.

    December 30, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa