• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DED KITETO AIPONGEZA CMT NA WATUMISHI KWA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA HALMASHAURI KIPINDI BARAZA LA MADIWANI LILIPOVUNJWA.

Imetumwa : December 2nd, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto, CPA. Hawa Abdul Hassan, ameipongeza Timu ya Wataalamu wa Halmashauri (CMT)  na watumishi wa Halmashauri  kwa kuendeleza ufanisi na weledi katika kipindi chote ambacho baraza la madiwani lilikuwa limevunjwa.

Akizungumza wakati wa Mkutano wa Kwanza wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto uliofanyika Desemba 02, 2025, CPA. Hawa alisema wataalamu waliendeleza utekelezaji wa majukumu ya Halmashauri bila kuyumba, ikiwemo kusimamia ukusanyaji wa mapato ya ndani na miradi ya maendeleo.

Katika taarifa aliyoiwasilisha, alisema kuwa kati ya mwezi Julai hadi Oktoba 2025, Halmashauri imekusanya Tsh. 2,321,489,279, sawa na asilimia 46.40 ya lengo la mwaka, ikiwa juu ya lengo la kipindi husika la asilimia 33.3.

Aidha, Halmashauri imeendelea kutoa mikopo ya makundi maalumu ambapo Tsh. 155,569,108.36 zimetolewa kwa Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu, huku uhakiki wa vikundi ukiendelea ili kuhakikisha walengwa wanafikiwa kwa usahihi. Kwa upande wa marejesho, kati ya Tsh. 133,352,100 zilizotarajiwa kurejeshwa katika kipindi cha Julai–Novemba, kiasi cha Tsh. 128,626,100 kimerejeshwa sawa na asilimia 96.46.

“Nitoe pongezi za dhati kwa Menejimenti na watumishi wote wa Halmashauri kwa weledi, ushirikiano na ufanisi wa kazi kwa kipindi chote ambacho Waheshimiwa Madiwani hawakuwepo,” alisema CPA. Hawa.

Katika kikao hicho, alitoa pia pongezi kwa Mhe. Athumani Hamisi Kilimo kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri na kumuahidi ushirikiano katika utekelezaji wa shughuli za Halmashauri. Vilevile, aliwapongeza Madiwani kwa kuaminiwa na wananchi.

CPA. Hawa pia alimshukuru Mwenyekiti aliyemaliza muda wake, Mhe. Abdala Bundala, kwa uongozi wenye hekima na mchango wake katika kipindi cha miaka mitano.


Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA MAPOKEZI YA FEDHA SEPTEMBA 2025 September 16, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DED KITETO AIPONGEZA CMT NA WATUMISHI KWA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA HALMASHAURI KIPINDI BARAZA LA MADIWANI LILIPOVUNJWA.

    December 02, 2025
  • “MSIWE KIKWAZO KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO” Bi. Dora

    December 02, 2025
  • MADIWANI KITETO WAASWA KUKEMEA UKABILA ILI KULINDA UMOJA WA WANANCHI

    December 02, 2025
  • "KURA YAKO HAKI YAKO, JITOKEZE KUPIGA KURA"

    October 27, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa