• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DOSIDOSI SEKONDARI YAPOKEA FEDHA KWAAJILI YA UJENZI WA MABWENI

Imetumwa : March 29th, 2025

Timu ya wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto, ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri, CPA. Hawa Abdul Hassan, Machi 28, 2025, wameutambulisha mradi wa mabweni mawili kwa Kamati ya Maendeleo ya Kata ya Dosidosi.


Akiongea katika mkutano huo, Mkurugenzi huyo amesema kwamba Halmashauri imepokea kiasi cha TZS 260,000,000 kupitia mradi wa EPforR II kwaajili  ya ujenzi wa mabweni mawili ya wanafunzi wa Sekondari ya Dosidosi.


Vilevile, CPA. Hawa aliwaambiwa wajumbe wa kamati hiyo kua wana jukumu la kwenda kuutambulisha mradi huo kwa wananchi na  kuwahamasisha juu ya ushiriki wao katika utekelezaji wa mradi huo  ili mradi uweze kukamilika kwa wakati.


" Mradi huu ni wenu, nawaomba wananchi wote kusaidia kulinda vifaa vyote vitakavyo kua vinaletwa hapa kwaajili ya utekelezaji wa mradi huo", aliongeza CPA. Hawa.


Aidha Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi, Ndg. Godfrey Mwangairo, alitoa muongozo wa uundaji wa kamati mbili za utekelezaji wa mradi huo.


Mbali na hilo, ametoa wito kwa wajumbe hao kwenda kuwahamasisha wafanyabiashara  wa vifaa vya ujenzi waliopo ndani ya kata hiyo kujisajiri kwenye Mfumo wa Kieletroniki wa Manunuzi ya Umma (NeST) ili waweze kuomba tenda za vifaa  vya ujenzi wa mradi huo.


Nae Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Kiteto,Ndg.Venance Sangawe, amesema kwamba Taasisi yake itakua na jicho la karibu katika mradi huo ili kuhakikisha thamani ya mradi inaonekana.


Ukamilikaji wa mradi huu utawanufaisha wanafunzi 160 kwa kuwaondolea adha ya kutembea umbali mrefu kwenda shule na kuwapunguzia baadhi ya  wazazi  gharama za kuwapangishia wanafunzi vyumba eneo la karibu la shule. Aidha ukamilikaji wa mradi huu unatarajia kupunguza utoro na kuongeza ufaulu katika shule hiyo.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DAS KITETO AWAHIMIZA WANANCHI KUJENGA UTAMADUNI WA UWEKEZAJI.

    September 11, 2025
  • UGONJWA WA HOMA YA INI (HEPATITIS B) NI TISHIO LA MAISHA LAKINI TUMAINI LIPO KUPITIA CHANJO

    September 04, 2025
  • DC MWEMA AFUNGUA RASMI ZAHANATI YA ENGUSERO SIDAN

    August 31, 2025
  • SAFARI YA KM 42 KUFUATA HUDUMA ZA AFYA SASA NI HISTORIA NDIRIGISHI

    August 30, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa