• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

ELIMU YA UJASIRIAMALI ITOLEWE KWA VIKUNDI VILIVYOPATA MKOPO WA 10%", Mhe. Mwema.

Imetumwa : March 25th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Mhe. Remidius Mwema Emmanuel, ameiagiza Divisheni ya Maendeleo ya Jamii Wilayani Kiteto kuvitembelea vikundi vilivyonufaika na Mkopo wa 10% wa Halmashauri na kuendelea kuwapa elimu ya ujasiriamali vikundi hivyo ili kuwawezesha kutumia mikopo hiyo kwa nia waliyokusudia na kuweza kurejesha fedha hizo kwa wakati.


Mhe. Mwema ametoa maagizo hayo  kwenye Hafla ya Uzinduzi wa Mikopo ya 10% kwa Vikundi vya Wanawake, Vijana na Walemavu iliyofanyika katika Kijiji cha Ndedo Machi 25,2025.


Aidha Mhe. Mwema amevisihi vikundi hivyo vilivyonufaika na Mkopo huo awamu ya sasa, kupambana ili kuweza kurejesha fedha kwa wakati kama ilivyokusudiwa ili vikundi vingine viweze kunufaika na mkopo huo.


Akitoa taarifa ya Mikopo iliyotolewa, Mratibu wa Mikopo ya 10% katika Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto, Ndg. Rufina Haule, amesema kwamba mpaka sasa Halmashauri imetoa mikopo yenye thamani ya TZS 389,125,000 kwa vikundi 103.


Mratibu huyo aliendelea kusema kwamba, katika fedha hizo, vikundi 49 vya wanawake wamenufaika kwa kupata mkopo wa TZS 164,000,000, vikundi 39 vya vijana vimepata TZS 163,000,000 na vikundi 15 vya  walemavu vimepata mkopo wenye thamani ya TZS 62,125,000.

Sehemu ya fedha za mikopo zilitotolewa kwa vijana zimeweza kununua pikipiki 10 kwa vikundi vitano vya vijana  huku upande wa walemavu, sehemu ya fedha hizo za mkopo zimenunua pikipiki za miguu mitatu (guta) tatu, kwaajili ya walemavu watatu kama walivyoomba.


Mhe. Mwema alitoa rai kwa wanufaika wa vyombo hivyo vya moto kuhakikisha wanafuata sheria na taratibu zote ikiwemo kuvikatia vyombo hivyo bima.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • JAMII YAASWA KUZINGATIA HAKI ZA WATOTO.

    June 16, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa