• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

“MSIWE KIKWAZO KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO” Bi. Dora

Imetumwa : December 2nd, 2025

Mwakilishi wa Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara, Bi. Dora Mziray, ametoa rai kwa madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto kuhakikisha hawawi kikwazo katika ukusanyaji wa mapato, akisisitiza kuwa usimamizi wao ndiyo msingi wa kuinyanyua Halmashauri kiuchumi na kuharakisha maendeleo ya wananchi.

Akizungumza  katika Mkutano wa Kwanza wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Desemba 02, 2025, Bi. Dora  amesema madiwani wana jukumu kubwa la kusimamia matumizi sahihi ya fedha, kushiriki katika uibuaji wa vyanzo vipya vya mapato, na kuhakikisha hakuna vitendo vinavyokwamisha makusanyo ya Halmashauri.

Aidha, Bi. Dora aliwasihi madiwani hao kushirikiana na viongozi na wataalumu ili kuhakikisha miradi yote inayotekelezwa wilayani hapa inakamilika kwa wakati na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

Awali, Mwenyekiti wa Muda wa kikao hicho, Ndugu.Mufandii Msaghaa, wakati akifungua Mkutano huo, aliwataka madiwani kutimiza ahadi walizowapa wananchi wakati wa kampeni na kuwatumikia kwa weledi.

Vilevile aliwahimiza madiwani  hao kusoma na kufahamu miongozo ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri ili kurahisisha utekelezaji wa majukumu yao.

Ndugu Msaghaa  amesisitiza kuwa ushirikiano kati ya madiwani, wataalamu na viongozi wengine ni msingi muhimu wa kufanya baraza kuwa na nguvu na uwezo wa kupanua wigo wa mapato ya Halmashauri.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA MAPOKEZI YA FEDHA SEPTEMBA 2025 September 16, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DED KITETO AIPONGEZA CMT NA WATUMISHI KWA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA HALMASHAURI KIPINDI BARAZA LA MADIWANI LILIPOVUNJWA.

    December 02, 2025
  • “MSIWE KIKWAZO KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO” Bi. Dora

    December 02, 2025
  • MADIWANI KITETO WAASWA KUKEMEA UKABILA ILI KULINDA UMOJA WA WANANCHI

    December 02, 2025
  • "KURA YAKO HAKI YAKO, JITOKEZE KUPIGA KURA"

    October 27, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa