• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MADIWANI KITETO WAASWA KUKEMEA UKABILA ILI KULINDA UMOJA WA WANANCHI

Imetumwa : December 2nd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Mhe. Remidius Mwema, ametoa rai kwa madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto kukemea kwa nguvu zote dhana ya ukabila na kuwasisitiza  viongozi hao kulinda umoja na mshikamano wa wananchi bila kuwagawa kwa misingi ya asili zao.

Akizungumza  Desemba 2, 2025 katika Mkutano wa Kwanza wa  Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto, Mhe. Mwema ameeleza kuwa ukabila unaweza kuwa  chanzo cha mafarakano  wikayani haoa hivyo ni wajibu wa viongozi viongozi hao kuhakikisha dhana hiyo inakomeshwa. 

“Waheshimiwa madiwani, nendeni mkakemee dhana ya ukabila, mtu akikosea ajulikane kwa jina lake si kwa kabila lake”, alisema Mhe. Mwema

“Muasisi wa taifa alikemea ukabila, nasi kama viongozi hatuna budi kuukemea kwa vitendo,” aliongeza Mhe. Mwema.

Katika Mkutano huo , waheshimiwa madiwani walikula Kiapo cha Udiwani mbele ya Mheshimiwa Hakimu Boniface Lihamwike, Hakimu Mkazi Mkuu. Aidha, madiwani hao pia walitoa Ahadi ya Uadilifu wa Viongozi mbele ya Ndg. Josephat Mkumbwa kwa niaba ya Kamishna wa Maadili.


Mhe. Mwema amewataka madiwani kuwa mstari wa mbele  katika utatuzi wa changamoto za wananchi, badala ya kuwa sehemu ya migogoro. Amewasisitiza kusimamia na kuwaelimisha wananchi juu ya mpango wa matumizi bora ya ardhi, akibainisha kuwa migogoro mingi ya ardhi imekuwa ikichochewa na mgawanyiko unaoweza kuzuilika.

Ameeleza kuwa Serikali inaendelea kushughulikia migogoro yote ya wilayani Kiteto, na hivyo kabla ya kuanza kutatua changamoto zozote, madiwani wahakikishe wanafahamu hatua za sasa za mchakato wa utatuzi wa migogoro hiyo.

Awali, Mhe. Mwema aliwapongeza madiwani wote kwa kuaminiwa na wananchi. Kipekee alimpongeza Mhe. Athumani Hamisi Kilimo kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto na Mhe. Abdala Bundala, aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza lililopita, kwa kuliongoza baraza hilo kwa hekima na busara kwa kipindi cha miaka mitano.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA MAPOKEZI YA FEDHA SEPTEMBA 2025 September 16, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DED KITETO AIPONGEZA CMT NA WATUMISHI KWA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA HALMASHAURI KIPINDI BARAZA LA MADIWANI LILIPOVUNJWA.

    December 02, 2025
  • “MSIWE KIKWAZO KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO” Bi. Dora

    December 02, 2025
  • MADIWANI KITETO WAASWA KUKEMEA UKABILA ILI KULINDA UMOJA WA WANANCHI

    December 02, 2025
  • "KURA YAKO HAKI YAKO, JITOKEZE KUPIGA KURA"

    October 27, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa