• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Yafanikisha Zoezi la Upakiaji wa Taarifa za Elimu Msingi Awali na Sekondari Katika Mfumo wa Takwimu (BEMIS) kwa Mwaka 2017

Imetumwa : April 24th, 2017

Baadhi ya Wataalam waliokuwa wakiingiza takwimu husika kutoka kulia ni Katibu Muhtasi Bibi. Asha Ibrahimu,

 Afisa Elimu Vifaa na Takwimu (Shule za Sekondari) Bw. Fabian Simon



Wataalam katika zoezi hilo kutoka kulia ni  Bibi. Asha Omary, Bibi. Angelina Kone na Bibi Halima Kiluwa wote hawa ni Makatibu Mihutasi.


Wataalam katika zoezi hilo kutoka kulia ni Afisa Elimu - Taaluma Bw.Laurenti Lusalago, 

Afisa Elimu Vifaa na Takwimu - Bw. Rajabu Salum na Bibi. Eva Kweka - Afisa Elimu Sayansi Kimu.


Zoezi hili lilianza tarehe 10.04.2017 hadi 25.04.2017 ambapo baadhi ya wataalamu wa Idara ya Elimu ya Msingi, Elimu ya Sekondari, Utumishi na Utawala  na Kitengo cha Tehama walihusika kuhakikisha takwimu hizo zinapandishwa na kukamilika kwa wakati katika Mfumo huo.

Kimsingi takwimu hizi kwa Elimu ya Shule za Msingi ni 90 ( kati ya hizo 87 ni za Serikali na 3 ni za Binafsi )  Elimu ya Awali 88 (kati ya hizo 85 ni za Serikali na 3 ni za Binafsi) na mwisho ni Elimu ya Watu wazima ambapo ni jumla ya vituo 20 kwa Wilaya nzima.

Wakati, Elimu ya Sekondari ni Shule 17 ( kati ya hizo 16 ni za Serikali na 1 ni ya Binafsi )

Dhumuni kuu la kupandisha takwimu hizi katika Mfumo huu ni kuiwezesha Serikali kujua changamoto za kielimu kwa kila Shule na Wilaya ili zisaidie katika maamuzi sahihi "Sound Decisions" ya kimaendeleo kwa kupanga mikakati endelevu itakayowezesha upangaji na uwezeshaji wa rasilimali za nchi kulingana na ukubwa wa changamoto ya Wilaya husika kupitia bajeti kuu ya Serikali kwa shabaha kuu ya kumletea maendelea mwananchi na Taifa kwa ujumla wake.


Takwimu hizi zote zimepandishwa na kumalizika kwa wakati kwa uwezeshwaji wa Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji (W) katika upatikanaji wa Vifaa vya kufanyia kazi na ufuatiliaji wa karibu.

Mkurugenzi Mtendaji (W) Kiteto Bw. Tamim H. Kambona

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • JAMII YAASWA KUZINGATIA HAKI ZA WATOTO.

    June 16, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa