• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

HW KITETO, WMA MAKAME WASAINI MKATABA WA BIASHARA YA HEWA UKAA.

Imetumwa : August 23rd, 2024

Halmashauri ya Wilaya Kiteto pamoja na Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori Makame (WMA Makame) wamesaini mkataba wa miaka 40 ya uvunaji wa hewa ukaa na Kampuni ya Carbon Tanzania (CT ltd) kutoka katika hifadhi hizo.

Halfa ya utiaji wa saini wa Mkataba huo ambayo Mgeni Rasmi alikua Mwenyekiti wa HW Kiteto Mhe. Abdala Bundala,  imefanyika katika viwanja vya WMA Makame Agosti 22, 2024, huku ikishuhudiwa na Mkurugenzi Mtendaji (W) CPA. Hawa Abdul Hassan, wajumbe wa bodi pamoja na wanajumuiya wa WMA Makame.

Akiongea katika halfa hiyo, Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Ndg. Lendukushi Keiya, ameiomba  kampuni hiyo kuhakikisha wanarudisha kwa wakati  sehemu ya faida  ya biashara hiyo kwa Jumuiya na Halmashauri kwani ucheleweshaji wa fedha hizo unakwamisha utekelezaji wa mipango ya maendeleo katika taasisi hizo.

Mgeni Rasmi Mhe.Bundala amesema kwamba halmashauri inafurahi kumpata muwekezaji huyo kwani pesa inayopatikana katika biashara hii inasaidia kueleta maendeleo katika wilaya. Aidha alitoa wito wa wanajumuiya na wananchi  kwa ujumla kutunza mazingira kwani biashara ya hewa ukaa haiwezi kufanyika endapo mazingira yataharibiwa.

Nae Mkurugenzi Mtendaji CPA. Hawa Abdul Hassan, aliwashukuru CT Ltd. na kusema kwamba kupitia biashara hiyo wameweza kunufanika na vyumba vya madarasa, barabara, ofisi za vijiji na visima mbali na fedha zinazolipwa moja kwa moja kwa HW kama mapato ya ndani.

“Turithishe jamii kutunza mazingira na waone faida tulizopata kupitia kutunza mazingira”, ameongeza CPA. Hawa.

Mkurugenzi wa Fedha wa CT ltd, Ndg. Alphael Jackson, alishukuru kwa ushirikiano wanaopata kutoka kwa HW, bodi na vijiji na kusihi kuendelea kutunza misitu ili kuendelea kupata fedha kupitia misitu hiyo.

Tangu kuanza kwa biashara hii, Jumuiya imeshapokea zaidi ya 3.7 bilioni  ambapo 40% imeelekezwa kwenye miradi ya maendeleo, 10% imepokelewa na HW Kiteto kama mapato ya ndani. Pia 15% ya pesa iliyopokelewa imetumika kwaajili ya ufadhili wa elimu kwa wanafunzi wa vijiji wanachama, 20% imetumika kwaajili utawala na 15% kwaajili ya doria.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • WALIMU KITETO WAPEWA MAFUNZO YA AFUA JUMUISHI ZA ELIMU YA AFYA SHULENI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa