• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

JESHI LA POLISI KITETO LAPONGEZWA KWA JITIHADA ZA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA

Imetumwa : July 14th, 2025

Kiongozi wa Mbio za Mwenge  wa Uhuru  2025 Kitaifa, Ndg. Ismail Ali Ussi, amelipongeza Jeshi la Polisi Wilayani Kiteto kwa jitihada wanazofanya katika kupambana dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya wilayani hapa na kuwasihi polisi waendeelee kufanya jukumu lao la kudhibiti dawa za kulevya.


Pongezi hizo zimetolewa Julai 13, 2025, mara baada kusomewa taarifa dhidi ya mapambano ya matumizi ya dawa za kulevya wilayani hapa, taarifa ambayo ilisomwa katika Viwanja vya Sekondari ya Ndedo mara baada ya Mwenge wa Uhuru kuwasili wilayani hapa.



Taarifa hiyo imesema kwamba  Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wamekua wakitoa elimu ya madhara ya matumizi ya dawa za kulevya hususani kwa kundi la vijana ambao ndio wahanga wakubwa.


Aidha Jeshi la Polisi limeendelea kufanya doria na misako  ili kudhibiti uingizaji wa dawa za kulevya kutoka katika mikoa na wilaya za jirani. Katika kipindi cha kutoka Juni 2024 hadi Juni 2025 Jeshi la polisi wilayani hapa limefanikiwa kukamata bangi yenye uzito wa kg 3.26, misokoto 07, kete 12 na miche 12 pamoja na mirungi yenye uzito wa kg 130.



Kutokana na madawa hayo yaliyokamatwa, jumla ya kesi 14 zilifunguliwa katika vituo vya polisi  na watuhumiwa 8 walikamatwa  na kesi 08 zilifikishwa mahakamani ambapo kesi 04 kati ya hizo zilipata mafanikio kwa watuhumiwa kuhukumiwa vifungo gerezani, kesi 03 zinaendelea mahakamani, kesi 01 ilishindwa mahakamani na kesi 06 zipo chini ya upelelezi kwa watuhumiwa kutopatikana


Dawa hizo zilizokamatwa zililetwa katika viwanja hivyo na kuteketezwa kwa moto na Kiongozi wa Mbio hizo za Mwenge wa Uhuru 2025.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DAS KITETO AWAHIMIZA WANANCHI KUJENGA UTAMADUNI WA UWEKEZAJI.

    September 11, 2025
  • UGONJWA WA HOMA YA INI (HEPATITIS B) NI TISHIO LA MAISHA LAKINI TUMAINI LIPO KUPITIA CHANJO

    September 04, 2025
  • DC MWEMA AFUNGUA RASMI ZAHANATI YA ENGUSERO SIDAN

    August 31, 2025
  • SAFARI YA KM 42 KUFUATA HUDUMA ZA AFYA SASA NI HISTORIA NDIRIGISHI

    August 30, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa