Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

"JITOKEZENI KUBORESHA TAARIFA ZENU KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA", DC MWEMA.

Imetumwa : September 25th, 2024

Mkuu wa Wilaya wa Kiteto, Mhe. Remidius Mwema, ametoa rai kwa wananchi wa Kiteto kujitokeza kwenye vituo vya uandikishaji kwaajili ya  kuboresha taarifa zao kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ili waweze kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025.

Rai hiyo imetolewa leo Septemba 25, 2024 katika Ofisi za Kata ya Kibaya alipoenda kuboresha taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

Mapema  leo, mara baada ya kituo hicho kufunguliwa, Mkuu huyo wa wilaya aliambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Kiteto CPA. Hawa Abdul Hassan pamoja na Katibu Tawala wa Wilaya Ndg. Mufandii Msaghaa ambapo viongozi wote hao walikua miongoni wa wananchi walioboresha taarifa zao kwenye kituo hicho.


"Ninawapongeza kwa kujitokeza kuja kuboresha taarifa zenu. Niwaombe muwe mabalozi kwa wengine ili nao waweze kuja kuboresha taarifa zao. Ila pia  kuna vijana wetu ambao sasa hivi wana miaka 17 hao wanapaswa kujiandikisha kuwa wapiga kura kwani ifikapo tarehe ya Uchaguzi Mkuu 2025 watakua wameshatimiza miaka 18", ameongeza Mhe. Mwema.


Nae Mkurugenzi Mtendaji (W), CPA. Hawa, ametoa wito kwa wananchi ambao  ndugu zao wamefariki na waliwahi kujiandikisha kuwa wapiga kura, waende kwenye vituo vya uandikishaji na taarifa za marehemu ili taarifa zao ziondolewe kwenya Daftari.


Zoezi la Uboreshwaji Jimboni Kiteto, ambalo limeanza Septemba 25, 2024 linatarajiwa kukamilika Oktoba 1,2024.


Vituo vyote vya uandikishaji vinafunguliwa saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni.

"Kujiandikisha kuwa Mpiga Kura ni Msingi wa Uchaguzi Bora".

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • JAMII YAASWA KUZINGATIA HAKI ZA WATOTO.

    June 16, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa