• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KATIBU TAWALA MKOA AFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MWENGE WA UHURU KITETO.

Imetumwa : September 30th, 2023

Katika kuelekea  kuupokea Mwenge wa Uhuru Wilayani Kiteto, Katibu Tawala Mkoa wa Manyara, Bi Karolina Mthapula, amefanya ziara kutembelea na kukagua  miradi mbalimbali  ambayo inatarajiwa kupitiwa na Mwenge wa Uhuru wilayani hapo.


Katika ziara hiyo ambayo imefanyika Septemba 30, 2023, Bi Mthapula aliongozana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa, Mratibu wa Mwenge Mkoa pamoja na wataalamu mbalimbali kutoka katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa.


Bi Mthapula na msafara wake walikagua miradi miwili ambayo itazinduliwa na Mwenge wa Uhuru. Miradi hiyo ni  Daraja la Orkine lililopo kata ya Songambele na mradi wa Maji  uliopo Majengo Mapya katika kata ya Kaloleni.


 Aidha Msafara huo ulikagua pia miradi miwili ambayo itafunguliwa na Mwenge wa Uhuru. Miradi hiyo ni  vyumba viwili vya madarasa pamoja na ofisi katika Shule ya Msingi Esukuta iliyopo kata ya Dosisodi pamoja na ufunguzi wa Shule ya  Msingi  Azimio A, katika kata  ya Matui iliyojengwa kwa leongo la kupunguza msongamano katika shule ya Msingi Azimio.


Vilevile Bi. Mthapula na Msafara wake walipita kukagua mradi wa ujenzi wa majengo matatu ya Hospitali ya Wilaya ambayo Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa mradi huo.


Pamoja na hayo, Mwenge wa Uhuru wilayani Kiteto unatarajiwa kukagua mradi wa Mazingira Uliopo katika Shule ya Sekondari Nasa Matui pamoja na kufungua klabu ya Wapinga Rushwa shuleni hapo.


“Miradi ni mzuri kwakweli naomba nimpongeze Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi, watumishi na watendaji wote kwa miradi hii. Kilichobaki sasa ni kuhakikisha  nyaraka zote za miradi zinawekwa sawa na pia kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi katika mapokezi ya Mwenge wa Uhuru”. Alisema Bi Mthapula.


Mkoani Manyara Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kupokelewa  Jumamosi Oktoba 7,2023 kupitia Wilaya ya Kiteto eneo la Dosidosi.  Wilayani hapoa, ujumbe wa Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kutolewa katika Stendi ya Mabasi Engusero. Aidha mkesha wa Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kufanyika  katika Uwanja wa Michezo wa Wilaya uliopo Kibaya kabla ya kukabidhiwa katika Wilaya ya Simanjiro siku ya Oktoba 8,2023 .

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI July 23, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA UTENDAJI WA KIJlJI III August 26, 2021
  • TANGAZO LA KUKODISHA VIBANDA March 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPTEMBA 2023 September 03, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • TABIA MBAYA ZA WATUMUSHI ZINAHARIBU SIFA ZA TAASISI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KITETO LIMEMPONGEZA RAIS SAMIA.

    May 30, 2025
  • PONGEZI KWA WANANCHI KWA KUTUNZA MAZINGIRA

    April 28, 2025
  • TUUENZI MUUNGANO WETU

    April 27, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa