• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Yapata Hati Safi na Kukusanya Zaidi ya Bilioni 1.9 kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017, Haya Yamejiri leo Kwenye Kikao Maalumu cha Balaza la Madiwani Kilichofanyika Kwenye Ukumbi wa Halmashauri (W) Leo Tarehe 30.06.2017

Imetumwa : June 30th, 2017

Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Bw. Lairumbe Mollel (wa kushoto) Akisoma Dua Maalumu  Wakati wa Kufungua Kikao hiyo.

 Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Bw. Tamim H. Kambona.

Mtunza Hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Bw. Nassoro Mkwanda Akiwasilisha Hoja Katika Kikao.


Waheshimiwa Madiwani Wakisoma Taarifa Mbalimbali za Kikao.

Wakuu wa Idara na Vitengo Katika Kikao 

Mh. Diwani wa Kata ya Lengatei Mainge Lemalai Akichangia Hoja Katika Kikao.


Mh. Diwani wa Kata ya Kaloleni Christopher Parmet Akichangia Hoja Katika Kikao.


Mh. Diwani wa Kata ya Partimbo Paul Tunyoni Akichangia Hoja Katika Kikao.

Mh. Diwani wa Kata ya Dosidosi, Benzi Akichangia Hoja Katika Kikao

Mh.Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Lairumbe Mollel Akihitimisha Kikao.

Wajumbe walifahamishwa na Mtunza Hazina wa Wilaya kuwa Halmashauri imepata Hati Safi kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. Hata hivyo mapato ya makusanyo ya ndani kwa Halmashauri yamepanda kutoka Shilingi milioni mia nane sabini (Tsh. 870,000,000.00) ambayo ni sawa na 78% kwa mwaka wa fedha 2015/2016 hadi kufikia zaidi ya Shilingi bilioni moja mia tisa milioni (TSh. 1,900,000,000.00)  sawa na 93% ya mapato ya Makusanyo ya ndani kwa Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2016/2017.


Kufikia lengo hili ilikuwa si kazi ndogo bali ni jitihada za Mkurugenzi wa Halmashauri (W) Kiteto Bw. Tamim H. Kambona kwa utendaji wake unaoendana na kasi ya Serikali ya Awamu ya Tano, uongozi mzima wa Halmashauri, Waheshimiwa Madiwani, Wataalamu,Mkuu wa Wilaya na Wadau wetu wakubwa ambao ni wananchi, kwani imesaidia kuongeza kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuboresha na baadhi ya huduma mbalimbali na kuondoa kero kwa wananchi hususani katika Afya, Maji na Elimu.


Hata hivyo Mh. Mwenyekiti alisisitiza kuwa tunapaswa tujipange vizuri kwa mwaka huu kwani mvua ilikuwa ya wastani na kwa maeneo kadhaa tu lakini tuongeze bidii kwa ukusanyaji wa machine za kielektroniki (POS) ili tuongeze uwezo wakutatua kero za wananchi wa Wilaya ya Kiteto na kupiga vita umaskini.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DAS KITETO AWAHIMIZA WANANCHI KUJENGA UTAMADUNI WA UWEKEZAJI.

    September 11, 2025
  • UGONJWA WA HOMA YA INI (HEPATITIS B) NI TISHIO LA MAISHA LAKINI TUMAINI LIPO KUPITIA CHANJO

    September 04, 2025
  • DC MWEMA AFUNGUA RASMI ZAHANATI YA ENGUSERO SIDAN

    August 31, 2025
  • SAFARI YA KM 42 KUFUATA HUDUMA ZA AFYA SASA NI HISTORIA NDIRIGISHI

    August 30, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa