• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WASIMAMIZI WA VITUO WAHIMIZWA KUZINGATIA UADILIFU NA UWAZI WAKATI WA UCHAGUZI

Imetumwa : October 26th, 2025

Siku moja baada ya mafunzo kwa Makarani waongozaji wapiga kura kukamilika, Tume Huru ya Taifa Uchaguzi  Jimbo la Kiteto, imeendelea na mafunzo kwa Wasimamizi wa Vituo na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo  mafunzo ambayo yameanza leo Oktoba 27, 2025 na yanatarajiwa kukamilika Oktoba 27,2025.


Akizungumza katika mafunzo hayo katika Kituo cha Maktaba, Mgeni Rasmi wa Kituo hicho Ndg. Godfrey Mwangairo amewataka wasimamizi hao  kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa uadilifu, uwazi na uaminifu mkubwa katika kipindi chote cha uchaguzi.


Mafunzo hayo ambayo yanayoendelea katika vituo vinne vyenye jumla ya washiriki 1, 726,  yamelenga kuwajengea uwezo wasimamizi hao ili waweze kuongoza vituo vya kupigia kura kwa ufanisi na kwa kuzingatia taratibu zote zilizowekwa na Tume Huru  ya Taifa ya Uchaguzi (INEC).


Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Ndg. Mwangairo alisema wasimamizi wa vituo ni nguzo muhimu katika kuhakikisha zoezi la upigaji kura linafanyika kwa amani, uwazi na uhalali wa kidemokrasia.


 “Ninyi ndiyo viongozi wakuu wa vituo vya kupigia kura hivyo, uadilifu wenu ndio utakaolinda imani ya wananchi na vyama vya siasa kwa Tume Huru  ya Taifa ya Uchaguzi. Fanyeni kazi kwa haki, bila upendeleo wala uonevu,” alisisitiza Ndg. Mwangairo.


Aidha, aliwakumbusha wasimamizi hao kuzingatia kanuni za uchaguzi, taratibu za upigaji na kuhesabu kura, pamoja na umuhimu wa kushirikiana na mawakala wa vyama vya siasa bila ubaguzi.


Kwa upande wao, washiriki wa mafunzo hayo wamepongeza juhudi za INEC katika kuwaandaa watendaji wa uchaguzi kwa ufanisi, wakisema mafunzo hayo yamewaongezea uelewa na kuondoa sintofahamu kuhusu majukumu yao siku ya uchaguzi.


Mafunzo hayo ni sehemu ya maandalizi ya kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA MAPOKEZI YA FEDHA SEPTEMBA 2025 September 16, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WA VITUO WAHIMIZWA KUZINGATIA UADILIFU NA UWAZI WAKATI WA UCHAGUZI

    October 26, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI KITETO AWAASA MAKARANI KUTOKUA CHANZO CHA MALALAMIKO.

    October 25, 2025
  • WAZEE WAHIMIZWA KUJITOKEZA KWA WINGI KUPIGA KURA OKTOBA 29

    October 07, 2025
  • KATIBU MKUU WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI AKABIDHI VIFAA NA CHANJO YA KICHAA CHA MBWA KITETO

    September 29, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa