• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kitengo cha Lishe Chaendesha Mafunzo kwa Walimu na Kuanzisha Klabu za Lishe Shuleni

Imetumwa : October 27th, 2024

Kitengo cha Lishe katika wilaya Kiteto kimetoa mafunzo maalum kwa walimu 64 kutoka katika shule za sekondari 9 na msingi 55. Mafunzo hayo yamefanyika kwa lengo la kuongeza uelewa na maarifa ya walimu kuhusu lishe bora kwa wanafunzi na uanzishwaji wa bustani za mboga mboga kwa lengo la kuboresha afya na maendeleo ya watoto shuleni.

Hayo yamebainishwa na kwenye taarifa ya utekelezaji wa shughuli za kitengo hicho kwenye Robo ya Kwanza ya mwaka 2024/25 kwenye kikao cha Kamati ya Lishe kilichofanyika Oktoba 25,2024.

Katika mafunzo haya, walimu wamefundishwa juu ya umuhimu wa lishe bora, uundaji wa klabu za lishe shuleni na muongozo wa utoaji wa vyakula shuleni. Baada ya mafunzo hayo, waalimu hao walipewa jukumu la kuanzisha club za lishe shuleni, ambapo wanafunzi watapata nafasi ya kujifunza zaidi kuhusu lishe bora na kuanzisha bustani za mbogamboga na matunda.

Afisa Lishe wa Wilaya, Beatrice Lutanjuka. amesema kuwa mafunzo hayo ni hatua muhimu katika kupambana na tatizo la utapiamlo na kuimarisha afya ya wanafunzi, ambao ni sehemu ya baadaye ya taifa. Aliongeza kuwa klabu za lishe zitasaidia kubadilisha mitazamo ya wanafunzi kuhusu ulaji bora na kuwa na maisha yenye afya bora.

*Wanafunzi watakaojiunga na klabu hizi watapata fursa ya kushiriki katika shughuli mbalimbali kama vile bustani za shule za mboga na matunda, mashindano ya upishi wa vyakula bora, na kampeni za lishe ndani na nje ya shule. Mafanikio ya mpango huu yanategemewa kuleta mabadiliko chanya kwa afya na maendeleo ya watoto katika jamii.*


Kwa nyakati tofauti, Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Mhe. Remidius Mwema na Mkurugenzi Mtendaji (W) CPA. Hawa Abdul Hassan, wamekipongeza Kitengo cha Lishe kuwezesha kuanzisha klabu za lishe shuleni.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • WALIMU KITETO WAPEWA MAFUNZO YA AFUA JUMUISHI ZA ELIMU YA AFYA SHULENI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa