• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wilaya ya Kiteto Mbioni Kuwa na Kituo cha Afya cha Kisasa

Imetumwa : April 13th, 2018


Jengo la upasuaji kama linavyoonekana katika picha.



Wilaya ya Kiteto iko mbioni kuwa na kituo cha afya cha kisasa baada ya kukamilika kwa ujenzi wa majengo matano , ambayo yanajengwa katika kituo cha afya Sunya.


Ujenzi huo ambao ni wa kihistoria katika  wilaya ya Kiteto,unatarajiwa kukifanya kituo cha afya Sunya kuwa cha kisasa ambapo  majengo matano yamejengwa, yakiwa ni jengo  la maabara, jengo la upasuaji,  jengo la  kuhifadhia maiti ,nyumba ya mtumishi  pamoja na wodi ya mama na mtoto .




Nyumba ya mtumishi  kama inavyoonekana katika picha.


Jengo la maabara kama linavyoonekana katika picha.

Jengo la kuhifadhia maiti kama linavyoonekana katika picha


Jengo la wodi ya mama na mtoto kama linavyoonekana katika picha


Ujenzi huo  ulioanza rasmi mwanzoni mwa mwezi Januari, 2018, ulisimamishwa  Januari 10, 2018 baada ya ramani  za majengo ya; upasuaji, wodi ya mama na mtoto pamoja na jengo la kuhifadhia maiti kuwa tofauti na ambavyo zilitakiwa kuwa.Hata hivyo mwanzoni mwa mwezi wa tatu ujenzi uliruhusiwa baada ya kupatikana kwa ramani sahihi.


Majengo hayo ambayo manne kati ya matano  yameshapauliwa, yanatarajiwa kukabidhiwa kwa halmashauri ya wilaya ya Kiteto ifikapo Mei 31, 2018 yakiwa yamekamilika.Hadi sasa ujenzi huo umegharimu fedha za Kitanzania sh. 137,396,342/=.Ambapo  serikali  ilikiasi cha shilingi za kitanzania  milioni 400 kwa kituo cha afya cha Sunya  kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa majengo , pamoja na ujenzi wa kichomea taka, ambacho kitajengwa mara baada ya majengo yote matano kukamilika.ikiwa ni katika mkakati wa  serikali ya awamu ya tano wa kuboresha huduma za afya ili kuwaondolea wananchi wake kero ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma hizo.




............... MWISHO...............

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • WALIMU KITETO WAPEWA MAFUNZO YA AFUA JUMUISHI ZA ELIMU YA AFYA SHULENI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa