• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kiteto Yaungana na Watanzania Wengine Siku ya Usafi Kitaifa.

Imetumwa : February 24th, 2018


Watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Kiteto ,watumishi wa taasisi mbalimbali za serikali, watumishi wa taasisi binafsi  pamoja na wakazi wa mji mdogo wa Kibaya wilayani Kiteto wameungana na watanzania wengine kufanya usafi katika kuazimisha  siku ya usafi kitaifa ambapo watumishi wamefanya usafi katika sehemu zao za kazi, na wakazi wa  mji mdogo wa Kibaya wamefanya usafi katika mazingira yanayozunguka makazi yao.

Kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi  ni siku ya usafi kitaifa. Ambapo kwa  mwisho wa mwezi  Februari 2018 ilikuwa ni  Jumamosi ya tarehe 24 .




Wakuu wa idara mbalimbali za halmashauri  pamoja na Meneja wa TARURA  wilaya ya  Kiteto wakifanya usafi katika mazingira  yanayozunguka  ofisi  za halmashauri  (Bomani) zilizopo katika mji mdogo wa  Kibaya 






Watumishi kutoka idara mbalimbali za halmashauri  pamoja na TARURA wilaya ya Kiteto wakifanya usafi katika mazingira  yanayozunguka  ofisi  za halmashauri  (Bomani) zilizopo katika mji mdogo wa  Kibaya .



Watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Kiteto ( idara ya afya  tiba )wakifanya usafi katika maeneo  mbalimbali ndani ya  hospitali ya wilaya ya Kiteto iliyopo katika mji mdogo wa  Kibaya .



Watumishi wa Mahakama ya wilaya ya Kiteto  wakifanya usafi katika mazingira yanayoizunguka mahakama hiyo iliyopo katika mji mdogo wa Kibaya .



Watumishi wa Benki ya NMB tawi la Kibaya  wakifanya usafi katika mazingira ya benki hiyo iliyopo katika mji mdogo wa Kibaya wilayani Kiteto.

Waumini wa dini ya Kiislamu wakifanya usafi katika mazingira ya nyumba yao ya ibada (Msikiti) iliyopo katika mji mdogo wa  kibaya  wilayani Kiteto.














Wakazi wa mji mdogo wa Kibaya  wilayani  Kiteto  wakifanya usafi katika mazingira ya  makazi yao .



Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HAYAWI HAYAWI SASA YAMEKUA: HATIMAYE KALOLENI YAPATA SHULE MPYA YA MSINGI

    July 30, 2025
  • SHULE YA MSINGI KINANGALI NAYO YANUFAIKA NA MRADI WA BOOST

    July 30, 2025
  • SERIKALI YA AWAMU YA SITA YAENDELEA KUWEKEZA KWA VITENDO: KURASH YAPATA MRADI MWINGINE WA MILIONI 153 KUPITIA BOOST

    July 30, 2025
  • KATA YA BWAWANI YAPATA MRADI WA SHULE MPYA YA ELIMU MSINGI.

    July 28, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa