• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mh.Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Kanali Patrick Songea Ahimiza Jamii Kuwa na Lishe Bora Ili Kuepuka Magonjwa Yanayoepukika.

Imetumwa : August 28th, 2020
Mh.Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Kanali Patrick Songea (aliyesimama) Akifungua Kikao cha Kamati ya Lishe ya Wilaya Kilichofanyika Tarehe 26.08.2020 Katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto.
kulia kwake ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Kiteto Bi. Neema Nyalege na kushoto kwake ni 
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Bw. Tamim Kambona










Wajumbe mbalimbali wa Kamati ya Lishe Wakiwa kwene Kikao Hicho Kama Wanavyoonekana Kwene Picha Hapo Juu




---------------------------    HABARI KAMILI   ---------------------------  





Haya yamejiri katika kikao cha Kamati ya Lishe ya Wilaya ya Kiteto kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri tarehe 26.08.2020, imefahamika kwamba wanajamii wengi wasiopata lishe bora hupatwa na magonjwa ya utapia mlo (udumavu).


Hasa kwa watoto na watu wazima ni sukari, shinikizo la damu, kansa na mengineyo. Kitaalamu inashauriwa mbali na kuwa na lishe bora inatakiwa kila mwanajamii kuwa na tabia ya kupima afya mara kwa mara hali inayopelekea kufahamu afya yako na kujiwekea kinga kabla ya hali yaugonjwa kuwa mbaya, “kinga ni bora kuliko tiba”.


Katika utekelezaji wa shuguli za lishe ndani ya wilaya zinashirikishwa idara/vitengo mtambuka na taasisi mbalimbali zikiwemo za kidini ili kuwepo kwa uelewa mpana kwa jamii. Baadhi ya idara/vitengo hivyo ni  Elimu Msingi, Elimu sekondari, Mipango, Afya, Kilimo, Mifugo, Fedha, Tehama, Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii, Wakala wa Maji Mijini na Vijiji (RUWASA), Huku taasisi zingine za kidini ni Bakwata na za Kikristo na Jumuiya za wenye viwanda vya usindikaji vyakula na mafuta kiteto.


Mwisho Mwenyekiti wa Kamati ya Lishe Mh.Mkuu wa Wilaya Kanali Songea, amesema “changamoto zilizopo ndani ya wilaya zifanyiwe kazi na kila mmoja ambaye ni mjumbe wa Kamati ya Lishe  anapaswa aonekane katika kuinua kiteto”



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DAS KITETO AWAHIMIZA WANANCHI KUJENGA UTAMADUNI WA UWEKEZAJI.

    September 11, 2025
  • UGONJWA WA HOMA YA INI (HEPATITIS B) NI TISHIO LA MAISHA LAKINI TUMAINI LIPO KUPITIA CHANJO

    September 04, 2025
  • DC MWEMA AFUNGUA RASMI ZAHANATI YA ENGUSERO SIDAN

    August 31, 2025
  • SAFARI YA KM 42 KUFUATA HUDUMA ZA AFYA SASA NI HISTORIA NDIRIGISHI

    August 30, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa