• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MAADHIMISHO YA SIKU YA KICHAA CHA MBWA DUNIANI YAANZA KWA KUTOA ELIMU KATIKA SHULE 12 WILAYANI KITETO.

Imetumwa : September 26th, 2025

Maadhimisho ya Siku ya Kichaa cha Mbwa Duniani yameanza rasmi leo Septemba 26, 2025 katika Wilaya ya Kiteto kwa kutoa elimu kwa wanafunzi kutoka shule 12, ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kitaifa ya kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa huo hatari.


Timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Mifugo, Wizara ya Afya, halmashauri mbalimbali  na kutoka sekta binafsi  wametoa elimu kwa wanafunzi, ili kuwajengea uelewa juu ya namna ya kujikinga na madhara yatokanayo na ugonjwa wa kichaa cha mbwa.


Elimu iliyotolewa imejikita katika kueleza maana ya ugonjwa wa kichaa cha mbwa, chanzo cha ugonjwa, jinsi unavyoambukizwa, dalili za mbwa mwenye maambukizi, dalili za mtu aliyepata kichaa cha mbwa pamoja na hatua za haraka za kuchukua endapo mtu atang’atwa na mbwa.


Aidha, wataalamu waliwahimiza wanafunzi hao kuwa mabalozi wa elimu hiyo katika jamii zao kwa kushirikisha wazazi, ndugu na marafiki ili kuongeza uelewa na kuchochea uwajibikaji wa pamoja katika kupambana na ugonjwa huo.


Wanafunzi pia walikumbushwa kujenga mazoea ya kuwapatia mbwa wao chanjo kwa kuzingatia utaratibu ulioweka na kwa sasa walihimizwa kutumia maadhimisho haya kuwapeleka mbwa na paka wao katika vituo vilivyoteuliwa ili kupata chanjo dhidi ya kichaa cha mbwa, hatua inayosaidia kulinda afya ya binadamu na wanyama.


Mbali na elimu, huduma mbalimbali za kiafya kwa wanyama zinatolewa katika kipindi hiki cha maadhimisho ikiwemo utoaji wa chanjo kwa mbwa na paka, kuhasi mbwa na paka dume, kutolewa kizazi mbwa na paka jike, utoaji wa dawa za minyoo, pamoja na ushauri wa kitaalamu kuhusu afya za wanyama hao.


Kilele cha maadhimisho ya Kichaa cha Mbwa Duniani  kitafanyika katika Uwanja wa Mpira Kibaya Septemba 29,2025.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA MAPOKEZI YA FEDHA SEPTEMBA 2025 September 16, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WAZEE WAHIMIZWA KUJITOKEZA KWA WINGI KUPIGA KURA OKTOBA 29

    October 07, 2025
  • KATIBU MKUU WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI AKABIDHI VIFAA NA CHANJO YA KICHAA CHA MBWA KITETO

    September 29, 2025
  • WITO WA LEO SEPTEMBA 29,2025

    September 29, 2025
  • TANZANIA YA TATU AFRIKA MPANGO RASMI WA KUDHIBITI KICHAA CHA MBWA

    September 29, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa