• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MADEREVA o PIKIPIKI NA BAJAJI KITETO WAUNGANA KUPINGA RUSHWA

Imetumwa : July 17th, 2025

Madereva pikipiki na bajaji wilayani Kiteto wameguswa na madhara ya vitendo vya rushwa vinavyotokea kwenye jamii hali ambayo imewapelekea kujiunga kuanzisha Klabu ya Wapinga Rushwa kwa Madereva wa Pikipiki na Bajaji yenye wanachama 35.


Akitoa taarifa kwa Mkimbiza Mwenge wa Kitaifa, Mwenyekiti wa Klabu hiyo, Ndg. Ismail Habibu, amesema kwamba klabu hiyo imeanzishwa kwa lengo la kukusanya vijana wengi watakaojiunga katika mapambano dhidi ya rushwa kwa kujengeana uwezo wa ufahamu juu ya maswala ya rushwa.


“Kwakuwa shughuli ya udereva wa pikipiki na bajaji kwa kiasi kikubwa inafanywa na vijana, hivyo tutaweza kukusanya vijana wengi kama wanachama wa klabu yetu na kwa pamoja tutashirikiana na TAKUKURU katika kupambana dhidi ya rushwa”, amesema Mwenyekiti huyo.



Akiongea mara baada ya kupokea taarifa ya klabu hiyo, kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru, Ndg. Ismail Ali Ussi kampongeza kamanda wa TAKUKURU wilayani hapa kwa kupambana na rushwa. Aidha kiongozi huyu alioneshwa kufurahishwa kuona kwamba TAKUKURU ilianza kupambana na rushwa kwa kuanzisha klabu kwenye shule za msingi, sekondari na sasa kwa madereva wa pikipiki na bajaji.


Aidha kiongozi huyo alitoa wito kwa madereva hao kuhakikisha wanatoa elimu ya kuzuia rushwa kwa abiria wao wote.

Klabu hiyo ambayo imezinduliwa na Mwenge wa Uhuru Julai 13, 2025 ina lenga kutoa elimu kwa wana klabu juu ya umuhimu wao katika mapambano dhidi ya rushwa, kuwahamasisha abiria kutoshiriki vitendo vya rushwa katika Uchaguzi Mkuu 2025 pamoja na kufichua na kudhibiti vitendo vya rushwa wilayani hapa.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MUONEKANAKONWA SASA NA WA ZAMANI WA SHULE YA MSINGI OLOIMIGI

    July 17, 2025
  • NILIPOIONA NJIA YA ZAMANI NIMEPATA MSHTUKO", Ussi

    July 17, 2025
  • MADEREVA o PIKIPIKI NA BAJAJI KITETO WAUNGANA KUPINGA RUSHWA

    July 17, 2025
  • "VIJANA JIUNGENI KWENYE VIKUNDI ILI MUWEZE KUNUFAIKA NA MIKOPO YA 10%" - Ussi

    July 14, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa