• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Madiwani Waaswa Kusimamia Amani katika Maeneo yao

Imetumwa : July 7th, 2018

Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Kiteto  wakiendelea na kikao cha baraza ndani ya  ukumbi wa halmashauri.


.......... HABARI KAMILI............


Madiwani wa  Halmashauri ya wilaya ya Kiteto  wameaswa  kuwasimamia watendaji wa kata na vijiji katika maeneo yao ili   kumaliza migogoro. Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa wilaya ya Kiteto Mhe. Tumaini Magessa wakati  akitoa maelekezo ya serikali katika  kikao cha baraza la madiwani , kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri , mwishoni mwa mwezi  Juni 2018.


Akizungumza katika kikao hicho Mhe. Magessa amesema “ Nawashukuru sana madiwani  mnaendelea kusimamia amani katika maeneo yenu. Sasa tunaelekea mahali Fulani ambapo pana matumaini. Kila kijiji mtakachopita  waulizeni watendaji daftari lao la migogoro liko wapi?Mkiendelea kuwasimamia hao migogoro itakwisha.Katika uchunguzi wetu tumebaini kwamba  kule chini watendaji wa kata na vijiji walifika mahali wakaacha  kushugulikia migogoro, kwa hiyo akabakia diwani, DED,DC,RAS na mawaziri .Ndio wanaoshughulikia migogoro ya vijiji,sasa matokeo yake yalikuwa magumu kidogo”


Aidha Mhe. Magessa amesema kwamba kama waheshimiwa madiwani wataendelea kuwasimamia  watendaji  kufanya kazi zao,migogoro iliyobaki wataendelea kuimaliza.


Wilaya ya Kiteto imekuwa ikikumbwa  na migogoro mingi ya ardhi, ambapo viongozi wa vijiji,kata, wilaya ,mkoa na hata taifa wameendelea kushughulika kumaliza migogoro hiyo. Hadi sasa iko katika hatua nzuri, hali ya amani na utulivu imerejea  kwa kiasi kikubwa ndani ya wilaya hiyo.



.......... MWISHO..........

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HAYAWI HAYAWI SASA YAMEKUA: HATIMAYE KALOLENI YAPATA SHULE MPYA YA MSINGI

    July 30, 2025
  • SHULE YA MSINGI KINANGALI NAYO YANUFAIKA NA MRADI WA BOOST

    July 30, 2025
  • SERIKALI YA AWAMU YA SITA YAENDELEA KUWEKEZA KWA VITENDO: KURASH YAPATA MRADI MWINGINE WA MILIONI 153 KUPITIA BOOST

    July 30, 2025
  • KATA YA BWAWANI YAPATA MRADI WA SHULE MPYA YA ELIMU MSINGI.

    July 28, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa