• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MAFUNZO KWAAJILI YA MAANDALIZI YA ZOEZI LA UBORESHWAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

Imetumwa : May 14th, 2025



Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Kiteto, CPA. Hawa Abdul Hassan, amewaasa Waandishi Wasaidizi  na Waendesha Vifaa vya Bayometriki kufanya kazi kwa kufuata sheria ,taratibu na miongozo.


Rai hiyo imetolewa Mei 14, 2025 wakati akifungua mafunzo ya siku moja kwa  Maafisa hao  yenye lengo la kuwajengea uwezo maafisa hao kwenye ujazaji wa fomu mbalimbali pamoja na kuwajengea uwezo wa utumiaji wa mifumo na vifaa vya uandikishaji kwenye zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu  la Wapiga Kura Awamu ya Pili wilayani hapa zoezi ambalo linatarajiwa kufanyika Mei 16-22, 2025.


Aidha CPA. Hawa amesema kwamba ana imani maafisa hao watafanya kazi kwa ueledi na moyo wa kujituma ili kuhakikisha zoezi hilo linafanyika kwa ufanisi wa hali ya juu ili kuweza kufikia malengo.

Mbali kufanya kazi kwa bidii na kujituma, aliwaasa pia juu ya utunzaji mzuri wa vifaa watakavyoenda kuvitumia.


Kabla ya kuanza mafunzo hayo, maafisa hao walikula kiapo cha kujivua uanachama wa siasa na kiapo cha kutunza, viapo ambavyo waliapa mbele ya Afisa Mwandikishaji huyo.


Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Awamu ya Pili, litaenda sambamba pamoja na uwekaji wazi wa daftari la awali la wapiga kura hivyo wananchi wanahimizwa kwenda kuhakiki taarifa zao kwenye vituo walivyojiandikisha na endapo watazikuta zinadosari wanapaswa kuboresha taarifa zao.


Wananchi ambao hawakujiandikisha au hawakuboresha taarifa zao katika zoezi la awali wanahimizwa pia kushiriki zoezi hili ili waweze kupata sifa ya kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025.


"Kujiandikisha kua Mpiga Kura, ni Msingi wa Uchaguzi Bora".

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • JAMII YAASWA KUZINGATIA HAKI ZA WATOTO.

    June 16, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa