• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

"MATUMIZI YA KUNI YALIMNYIMA USINGIZI MHE. RAIS”

Imetumwa : July 13th, 2025

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025, Ndg. Ismal Ali Ussi, ameipongeza Kiteto kwa kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye kampeni ya matumizi ya nishati safi ya kupikia.


Pongezi hizo zimetolewa Julai 13, 2025 mara baada ya kukabidhi mitungi 50 ya gesi ya kupikia kwa makundi matatu ambayo ni wajasiriamali (10), zahanati (1), Shule za Msingi (29) na Shule za Sekondari (10). Mitungi hiyo yenye thamani ya TZS 3,800,000, imekabidhiwa katika Viwanja vya Shule ya Sekondari ya Ndedo mara baada ya Mwenge wa Uhuru kupokelewa wilayani hapa katika viwanja hivyo.


Kiteto inafanya uhamasishaji wa matumizi ya nishati safi na salama ya kupikia kwa jamii wilayani hapa ikiwa ni sehemu ya juhudi za serikali na wadau wa maendeleo katika kulinda mazingira na kuboresha afya. Katika kutekeleza adhma hii, Halmashauri kupitia Kitengo cha Mazingira,  imeweza kutoa elimu shuleni, vikundi vya jinsia na rika tofauti kwenye jamii, kushirikiana na wadau wa maendeleo na kufadhili na kusambaza majiko banifu pamoja na kutoa mafunzo kwa jamii  kuhusu namna ya kuyatumia, kuwajengea uwezo wajasiriamali wa nishati safi kupitia mafunzo yaliyotolewa kwa wajasiriamali wanaohusika na utengenezaji na matengenezo ya majiko banifu na vifaa vya LPG(Liquefied Petroleum Gas) ili kuongeza ufanisi na usalama vinapotumiwa na wananchi.


Baada ya kupokea taarifa hiyo, Ndg. Ussi ameipongeza Wilaya ya Kiteto kwa juhudi za kuiunga serikali mkono kwenye mkakati wa matumizi ya nishati safi ya kupikia.


“Napenda kutumia nafasi hii kuwapongezeni kwa jitihada mnazozionesha katika kuunga mkono juhudi za Rais Samia juu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia. Matumizi ya kuni yalikua yanamnyima usingizi Rais Samia”, alisema Ndg. Ussi.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • "MATUMIZI YA KUNI YALIMNYIMA USINGIZI MHE. RAIS”

    July 13, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAPOKELEWA WILAYANI KITETO

    July 13, 2025
  • MIRADI MITATU YAWEKEWA MAWE YA MSINGI.

    July 10, 2025
  • JAMII YAASWA KUZINGATIA HAKI ZA WATOTO.

    June 16, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa