

Mh. Diwani C. Parmet Aliyehudhuria kwa Niaba ya Mh. Mbunge Jimbo la Kiteto Akiwasalimia Wananchi.
Mkurugenzi Mtendaji (W) Kiteto Bw. Tamim H. Kambona Akiwasalimia Wananchi.

Afisa Uhusiano wa Shirika la Hifadhi ya Jamii PPF Bibi. Lulu Akifafanua Jambo.
Wananchi Mbalimbali Waliohudhuria Katika Hafla Hiyo.


Bibi. Elizabeth Kiula Akitoa Maelezo Kuhusu Mradi Huu na Matumizi yake




Mwakilishi wa PPF Bibi Lulu, amemshukuru sana Mh.Mkuu wa Mkoa wa Manyara Dkt. Joel N. Bendera kwa kuhakikisha wananchi wa Wilaya ya Kiteto wanaunga mkono kwa kujiunga na kuchangia PPF kwa kishindo.Mwakilishi huyo alisema wanapotoa mchango kwa jamii wanafata sera ya uwekezaji ya PPF na huu ni mwanzo ila wataendelea kushirikiana na kuwa karibu na wananchi ili kuhakikisha kuwa wanachangia huduma ya PPF na kupata huduma bora za Afya.



Mkurugenzi Mtendaji (W) Kiteto Bw. Tamim H. Kambona Akizungumza Jambo Baada ya Kupokea Vifaa Husika.
Kibaya-Kiteto
Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto
Simu ya Mezani: +255 027-2552099
Simu ya kiganjani:
Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz
Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa