• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mh.Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Mhandisi Tumaini Magessa Akabidhi Pikipiki 7 kwa Maafisa Tarafa 7 Wilayani Kiteto, ikiwa ni Utekelezaji wa Ahadi ya Mh.Rais Dkt J.P.Magufuli Kwa Maafisa Hao.

Imetumwa : May 14th, 2020

Mh.Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Mhandisi Tumaini Magessa (aliyevaa suti) Wakati wa Makabidhiano Hayo na Maafisa Tarafa Hao Tarehe 13.05.2020

Kulia kwake ni Afisa Tarafa wa Makame Bw. Ibrahimu Olemario na kushoto kwake ni Afisa Tarafa wa Olboloti Bw.Fadhiri Alexander

Wa kwanza kushoto kwake ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Kiteto Bi. Neema Nyalege 







-------------------------------------------------------- TAAFIFA KAMILI ---------------------------------------------------



Mh.Mkuu wa Wilaya ya Kiteto  huyo, Mhandisi Tumaini Magessa alikabidhi Pikipiki  hizo kwa hawa wafuatao , kwa majina ni; Bi.Dhulpha Laizer Afisa Tarafa wa Tarafa ya Kibaya, Bw.Fadhiri Alexander Afisa Tarafa wa Tarafa ya Olboloti, Bw.Jeremia Mwangaza Afisa Tarafa wa Tarafa ya Dosidosi, Bw.Amedeus Kitira Afisa Tarafa wa Tarafa ya Sunya, Bw.Ibrahimu Olemario Afisa Tarafa wa Tarafa ya Makame, Bw. Nivile Komolo Afisa Tarafa wa Tarafa ya Matui na Afisa Tarafa wa Tarafa ya Kijungu Bw.Julius Laizer.

Mh.Mkuu wa wilaya ya Kiteto Mhandisi Tumaini Magessa amewataka Maafisa Tarafa hao kufanya kazi kwa juhudi na maarifa kwa kutumia vyombo hivi vya usafiri kuongeza kasi ya kutatua changamoto za wananchi katika maeneo yao Wilayani Kiteto. 

Aidha, Mh.Mkuu wa wilaya ya Kiteto Mhandisi Tumaini Magessa amemshukuru  sana Mh.Rais Dkt J.P. Magufuli kwa kutimiza ahadi yake aliyoitoa mwaka jana 2019 kwa Maafisa Tarafa hawa ya kuwapa vyombo vya usafiri ili kurahisisha utekelezaji wa majukumu yao mbalimbali.



Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • WALIMU KITETO WAPEWA MAFUNZO YA AFUA JUMUISHI ZA ELIMU YA AFYA SHULENI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa