• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

*MITI 500 YAPANDWA KATIKA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA KUZALIWA KWA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Imetumwa : January 27th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Cuthbert Sendiga, Januari 27, 2025 ameungana na wakazi wa Wilaya ya Kiteto katika shughuli ya upandaji wa miti ikiwa ni ishara ya kuadhimisha kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Maadhimisho hayo ambayo  yamehudhuriwa pia na Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara, Bi. Maryam Muhaji pamoja na viongozi mbalimbali kutoka Wilaya zote za Mkoa wa Manyara wakiwemo Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi Watendaji na Makatibu Tawala wa Wilaya, yamefanyika katika viwanja vya jengo jipya la Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto kwa kupanda miti 500 kuzunguka eneo hilo huku wananchi wakipata zawadi ya miti ya kivuli na matunda kwa ajili ya kupanda kwenye makazi yao.


RC Sendiga amewashukuru wananchi wa Kiteto kwa kuungana pamoja katika shughuli hiyo muhimu ya utunzaji wa mazingira.


"Hii imekuwa mara ya pili kwa Mkoa wa Manyara kuadhimisha kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya Mhe. Rais Samia Suluhu huku zoezi la upandaji miti likiendelea", amesema RC Sendiga.


Aidha, RC Sendiga wakati akitoa salamu za mfanano wa siku ya kuzaliwa kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  amemshukuru  Mhe Rais kwa kendelea kuelekeza miradi mbalimbali ya maendeleo yenye manufaa chanya kwa wakazi wa Mkoa wa Manyara.


Kauli mbiu ya Mkoa katika madhimisho hayo ni *"Upandaji Miti kwa Maendeleo Endelevu"* ilhali kauli mbiu ya Wilaya ni *"Kiteto ya kijani ipo Mikononi Mwetu"*

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI July 23, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA UTENDAJI WA KIJlJI III August 26, 2021
  • TANGAZO LA KUKODISHA VIBANDA March 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPTEMBA 2023 September 03, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • TABIA MBAYA ZA WATUMUSHI ZINAHARIBU SIFA ZA TAASISI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KITETO LIMEMPONGEZA RAIS SAMIA.

    May 30, 2025
  • PONGEZI KWA WANANCHI KWA KUTUNZA MAZINGIRA

    April 28, 2025
  • TUUENZI MUUNGANO WETU

    April 27, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa