• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkurugenzi Mtendaji (W) Kiteto Bw. Tamim H. Kambona akabidhi Baiskeli Arobaini na Mbili (42) kwa Vikundi vya Mradi wa Kilimo cha Mbogamboga Wilayani Kiteto

Imetumwa : May 17th, 2017

Mgeni Rasmi Mkurugenzi Mtendaji (W) Kiteto Bw. Tamim H. Kambona ( aliyesimama ) Akizungumza na Wadau wa Mradi wa Kilimo cha Mbogamboga Wilayani Kiteto. Mwenye Koti Jeusi ni Afisa Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika (W) Kiteto Bw. Robert Urasa.


Mwakilishi wa Shirika la Watafiti wa Mbogamboga ( AVRDC ) Bibi. Sofia Bongole Akiwasilisha Mada iliyohusu Teknolojia ya Mbogamboga kwa WadauMbalimbali Waliohudhuria. 


Mwenye Koti Jeusi Kulia ni Afisa Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika wa Wilaya - Kiteto Bw. Robert Urasa Akitoa Maelezo Juu ya Mradi Huu kwa Wadau.


Baiskeli kabla ya kugaiwa Kwa Vikundi Hivyo ni Hizo Hapo Juu.



Mgeni Rasmi Mkurugenzi Mtendaji (W) Kiteto Bw. Tamim H. Kambona ( aliyevaa suti ya kijivu ) Katika Zoezi la Kukabidhi Baiskeli Hizo Makao Makuu ya Wilaya ya Kiteto,

kulia mwenye koti jeusi ni Afisa Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika wa Wilaya - Kiteto Bw. Robert Urasa.


Baadhi ya Wadau Hao wa Vikundi vya Mbogamboga Waliokuwa Wamefurai Baada ya Kupewa Bure 

Vyombo Hivyo vya Usafiri Wakiendesha Baiskeli Hizo Katika Makabidhianao Hayo..


HABARI KAMILI .....


MRADI WA KILIMO CHA  MBOGA MBOGA MANYUMBANI  “HOME GARDENING PROJECT”

Mradi unaojishugulisha na  Usambazaji wa Teknolojia Bora za Kilimo cha Mbogamboga unaotekelezwa Wilayani Kiteto na Taasisi ya Watafiti wa Mbogamboga (AVRDC), iliyopo Jiji la Arusha kupitia Mradi wa “Feed the Future” unaofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Serikali ya Marekani (USAID), Ofisi ya Tanzania kwa ushirikiano wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto.


Lengo la Mradi
- Kupunguza udumavu na athari katika afya kwa kundi la  watoto wenye umri chini ya miaka mitano (5)  na wanawake wenye umri kati aya miaka 14 - 35
- Kuongeza kipato cha Kaya
- kutoa elimu kwa walengwa na kuwawezesha katika kuboresha uzalishaji na matumizi ya mazao yenye virutubisho vingi jamii ya mbogamboga za asili.


Uanzishwaji wake.

Mradi huu ulianzishwa Wilayani Kiteto mwaka 2015 hadi sasa unaendelea kuhudumia na kunufaisha  wananchi.
- Kwa awali 2015 vilikuwa Vijiji vitatu tu (3) ambavyo ni Ngipa, Kijungu na Kibaya.
- Kwa mwaka wa pili 2016  tuliongeza Vijiji tisa (9) ambavyo ni Loolera, Zambia, Mwitikira, Engusero, Orkine, Emarti, Njoro, Chang’ombe (Njoro) na Chapakazi.
- Kwa mwaka wa tatu 2017 Halmashauri kwa kushirikiana na Wadau wa Mradi huu  tumezidi kuongeza idadi ya Vijiji vingine saba (7) yaani Ndaleta, Mwanya, 

  Songambele,       Magungu,     Dosidosi, Kimana (Kitongoji cha Mbeli) na Mji         Mdogo wa Matui.
- Hivyo kupelekea jumla ya Vijiji 19 kunufaika na Mradi huu.


Huduma zinazotolewa kwa Vikundi ambazo ni mafanikio makubwa katika Mradi huu ni hizi zifuatazo:-


- Kutoa mafunzo kuhusu uzalishaji wa mbogamboga kupitia mashamba darasa ya eneo maalumu kwa kila Kijiji na Kata.
- Mafunzo juu ya mapishi ya mbogamboga pasipo kuathiri virutubisho vyake.
- Kuwapatia mbegu bora za baadhi ya mbogamboga za asili Mnavu, Bamia, Kunde, Mlenda Ngogwe, Mgagani na Mchicha.
- Kuwapatia usafiri aina ya Baiskeli ili kurahisisha kazi za usimamizi na uelimishaji katika ngazi ya Kaya kwa Vikundi husika kwa kila Kata na Kijiji ambapo leo Mei 2017 baiskeli  

  zilizotolewa ni arobaini na mbili (42).


Vikundi hivi vimewashuruku sana Wafadhili hawa  na Halmashauri (W) Kiteto katika kuwawezesha hadi kufikia hatua waliyonayo sasa ambayo ni endelevu na imeonyesha matokeo chanya kiafya na kiuchumi katika jamii na familia zao.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • JAMII YAASWA KUZINGATIA HAKI ZA WATOTO.

    June 16, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa