• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

“MSIPOTENDA HAKI, MTAWAJIBIKA KWA MUNGU,” CPA Hawa.

Imetumwa : December 8th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA), CPA. Hawa Abdul Hassan, amewaasa wajumbe wa kamati hiyo kuhakikisha wanatenda haki katika kushughulikia masuala ya ukatili wilayani Kiteto.

Hayo aliyazungumza katika kikao kilichoketi Desemba 5, 2025 kujadili utekelezaji shughuli zilizotekelezwa na wajumbe wa kamati hiyo katika Robo ya Nne ya Mwaka 2024/25 na Robo ya Kwanza ya 2025/26.

Akizungumza wakati wa kufunga kikao hicho,CPA. Hawa aliwasisitiza wajumbe hao kuhakikisha kuwa kila mmoja wao ahakikishe anasimamia haki katika nafasi yake, ili wahanga wa ukatili wapate haki zao kwa wakati.

“Kila mmoja wenu akitimiza wajibu wake kwa haki, tutakuwa tumewasaidia wahanga kupata haki zao na pia tutakuwa tumepambana kutokomeza ukatili wilayani kwetu. Kila mmoja ajue majukumu haya amepewa na Mwenyezi Mungu msipotekeleza majukumu yenu ipasavyo, maana yake mnawanyima haki wahanga kwa kufanya hivyo mtakua na lakujibu mbele ya Mwenyezi Mungu,” alisisitiza CPA Hawa.

 Aidha, CPA Hawa aliwataka wajumbe kuendelea kushirikiana kwa karibu, kuweka mbele maslahi ya wahanga na kuhakikisha taarifa zote za ukatili zinasimamiwa ipasavyo hadi hatua ya mwisho, ikiwemo kuhakikisha watoto na wanawake wanaopitia madhila wanapata faraja, ulinzi na msaada wa haraka.Katika kikao hicho, wadau walionesha hatua muhimu walizochukua kukabiliana na vitendo vya ukatili, zikiwemo kampeni za elimu, ufuatiliaji wa kesi, huduma kwa manusura na kuimarisha mifumo ya ulinzi na usalama wa watoto na wanawake.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA MAPOKEZI YA FEDHA SEPTEMBA 2025 September 16, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MRADI SHULE MPYA YA MSINGI KATA YA KALOLENI KUPUNGUZA ADHA YA WANAFUNZI KUTEMBEA UMBALI MREFU.

    December 30, 2025
  • HABARI PICHA:

    December 23, 2025
  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WILAYANI KITETO WAASWA KUTUMIA MIKOPO HIYO KAMA FURSA KUJIKWAMUA KIUCHUMI.

    December 08, 2025
  • “MSIPOTENDA HAKI, MTAWAJIBIKA KWA MUNGU,” CPA Hawa.

    December 08, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa