• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega Awaunga Mkono kwa Vitendo Wafugaji Wilayani Kiteto Baada ya Kuwatembelea Wachache Katika Maeneo Yao.

Imetumwa : September 1st, 2019

Kutoka Kushoto  Mwenye Koti ni Mzee Marandu Muwekezaji wa Mifugo Wilayani Kiteto

Kulia aliyesimama ni Katibu Tawala Wilaya ya Kiteto Bw. S. Ndaki akiwasilisha taarifa ya Wilaya ya Kiteto kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya wa Kiteto kwa Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi (Mb), Mh. Abdallah Ulega  katika Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Kiteto na Baadhi ya Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto. 

 Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi (Mb), Mh. Abdallah Ulega baada ya kupokea taarifa ya Wilaya, kisha alizungumza na  Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Kiteto na Baadhi ya Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto katika Ofisi ya Katibu Tawala Kiteto.


 Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi (Mb), Mh. Abdallah Ulega Akizungumza Alipotembelea Eneo la Uwekezaji wa Mifugo la Bw. Marandu Wilayani Kiteto


Hao Hapo Juu ni Ng'ombe wa  Bw. Marandu Wakiwa Katika Malisho Wilayani Kiteto



 Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi (Mb), Mh. Abdallah Ulega (aliyevaa shati la lenye maua) Akizungumza Alipotembelea Eneo la Uwekezaji wa Mifugo wa Wawekezaji Mbalimbali wa Sekta ya Mifugo Wilayani Kiteto


 Mbunge wa Jimbo la Kiteto Akisisitiza Jambo Katika Maeneo Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi (Mb), Mh. Abdallah Ulega Alipotembelea na Kuona Kero Mbalimbali Kwenye Maeneo ya Uwekezaji wa Sekta ya Mifugo  Wilayani Kiteto


----------------------------- HABARI KAMILI ----------------------------


Bw. Laurenti Marandu ni Njasiriamali ambaye amewekeza kwenye ufugaji, ni mzaliwa wa Mkoa wa Kilimanjaro aliyefika hapa Wilayani Kiteto mwaka 1990. Hadi sasa Bw. Marandu ana ng'ombe zipatazo 120 na ekari 200 nusu anazitumia kwa shuguli za kilimo kama vile kulima mazao aina ya mahindi, alizeti na mtama na zingine kwa shuguli za ufugaji ambapo ni ng'ombe wa maziwa na ng'ombe wa kunenepesha kwa ajiri ya nyama. Mzee Marandu alianza kazi ya ufugaji miaka 10 iliyopita ambapo hadi sasa lengo lake kuu ni kuwa na mradi mkubwa wa kunenepesha ng'ombe na kuuuza lakini hadi sasa hajaweza kufikia lengo hilo kutokana na changamoto mbalimbali.

Changamoto alizonazo ni kutokuwepo kwa maji ya kutosha ambapo hutumia visima vya kupampu kwa mkono kiasi kwamba hata akitaka kuotesha majani mengi ya malisho inashindikana na pia hakuna nishati ya uhakika kwa ajili ya kuweka mitambo mbalimbali ya kuwezesha miundombinu ya kisasa katika ene lake la uzalishaji.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega baada ya kuona haya alikubali kumpa mbegu ya ng'ombe dume bora aina ya Borani kutoka Ranch za taifa ili kumuongezea uwezo wa kufikia lengo la kuwa na ng'ombe wa nyama wenye uzito zaidi ya kilogramu 1000 kwa ng'ombe mmoja, pia Mh.Waziri aliongeza kuwa ataleta wataalamu kufika katika eneo hilo na kufanya tathmini mbalimbali za uboreshaji wa ufugaji wake ili atimize lengo lake la kuwa tajiri kupitia mifugo yake.

kuhusiana na Bwawa la maji Mh. Naibu Waziri Ulega amesema tumieni wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto kutathmini na kuandika andiko litakaloanisha gharama za eneo la kupanua njia za kupitishia mifugo kuja kunywa katika bwawa hilo, gharama za namna ya kunyanyua matuta yatakayokuwa ni kingo za pembezoni na kutoa tope kwenye bwawa husika ili liweze kuhifadhi maji hali itakayosaidia maji kwa ajili ya mifugo na maji kwa ajiri ya kilimo cha umwagiliaji hususani mbogamboga na matunda kama matikiti.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • WALIMU KITETO WAPEWA MAFUNZO YA AFUA JUMUISHI ZA ELIMU YA AFYA SHULENI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa