• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

NDIRIGISHI KINARA WA KUTEKELEZA MKATABA WA LISHE

Imetumwa : August 3rd, 2024

Kata ya Ndirigishi imepokea Cheti cha Pongezi kwa kuibuka kinara katika kutekeleza Mkataba wa Lishe katika Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto katika mwaka 2023/2024.

Cheti hicho cha Pongezi ambacho kilikabidhiwa na  Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Mhe.Remidius Mwema, kimetolewa katika kikao cha Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kwa Robo ya Nne ya mwaka 2023/2024 kilichofanyika Agosti 1,2024 katika Ukumbi wa Halmashauri.

Afisa Lishe (W), Beatrice Lutanjuka, amesema kwamba Kata ya Ndirigishi imepongezwa kwa jitihada kubwa wanayofanya ambapo wanafunzi wote 2,200  kutoka shule nne za msingi na moja ya sekondari katika kata hiyo wanakula chakula shuleni.

Mara baada ya kupokea Cheti hicho cha Pongezi, Mhe. Mwema alimtaka Mtendaji wa kata hiyo Ndg. Robert Augustino Meikasi kueleza siri ya mafanikio hayo. Akijibu  swali la Mkuu wa Wilaya, Ndg Meikasi amesema kwamba  katika kata yake chakula kinatolewa kwa wanafunzi wote hata wale ambao wazazi wao hawajachanga chakula.

“Kwenye kata yangu hata wanafunzi ambao wazazi wao hawajachanga chakula, tunawapa chakula huku tukiendelea kuwafuatilia  kwa karibu wazazi ambao hawajachanga ili waweze kuchanga maana watoto wao wanakua tayari wameshaanza kula chakula shuleni”, ameongeza Meikasi.

Aidha, Mhe. Mwema amewataka watendaji kutoka kata zote 23 za wilayani hapo, kuhakikisha wanasimamia kikamilifu utekelezaji wa Mkataba wa Lishe katika kata zao kwani hayupo tayari wilaya yake kuwa wa mwisho kwenye utekelezaji wa mkataba huo ukizingatia Wilaya ya Kiteto inazalisha chakula kwa wingi.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • WALIMU KITETO WAPEWA MAFUNZO YA AFUA JUMUISHI ZA ELIMU YA AFYA SHULENI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa