• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

NILIPOIONA NJIA YA ZAMANI NIMEPATA MSHTUKO", Ussi

Imetumwa : July 17th, 2025

Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndg. Ismail Ali Ussi,  amewapa pole wananchi wa kata ya Partimbo kwa magumu waliyopitia wakati wa kuvuka korongo la Barabara ya Kibaya- Mbeli kabla ya kujengwa kwa daraja kubwa la mawe la midomo saba katika eneo hilo.

Pole hizo zimetolewa Julai 13,2025 wakati wa uzinduzi wa daraja hilo la mawe  katika eneo hilo.


Akizungumza katika eneo hilo, kiongozi huyo alisema kwamba wananchi wa eneo hilo wameonesha uvumilivu, upendo, heshima na uzalendo wa hali ya juu.

"Yamefanyika mabadiliko makubwa ya kimaendeleo katika eneo hili. Nilipoona njia mliyokua mnapita mwanzo  nilipata mshtuko wa hali ya juu, poleni kwa mliyoyapitia", ameongeza Ndg. Ismail.


Ujenzi wa daraja hilo la mawe umegharimu kiasi cha TZS 405 na kukamilika kwa dafaja hilo kunategemewa kuimarisha usalama wakati wa uvukaji wa eneo hilo msimu wa mvua na kuboresha mazingira ya usafiri na usafirishaji.


Aidha,  kiongozi huyo aliwapongeza wananchi wa eneo hilo kwa kujitokeza kwa wingi kuupokea Mwenge wa Uhuru.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MUONEKANAKONWA SASA NA WA ZAMANI WA SHULE YA MSINGI OLOIMIGI

    July 17, 2025
  • NILIPOIONA NJIA YA ZAMANI NIMEPATA MSHTUKO", Ussi

    July 17, 2025
  • MADEREVA o PIKIPIKI NA BAJAJI KITETO WAUNGANA KUPINGA RUSHWA

    July 17, 2025
  • "VIJANA JIUNGENI KWENYE VIKUNDI ILI MUWEZE KUNUFAIKA NA MIKOPO YA 10%" - Ussi

    July 14, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa