• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

RC Mnyeti Adhamiria Kukuza Soka Mkoani Manyara

Imetumwa : January 19th, 2018





    Mkuu wa Mkoa Wa Manyara Mhe. Alexander Mnyeti akikabidhi mipira kwa timu za vijana wilayani Kiteto.Tukio lililofanyika Ikulu ndogo Kibaya Kiteto.


................ HABARI KAMILI......


RC Mnyeti Adhamiria Kukuza Soka Mkoani Manyara

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mheshimiwa Axander Mnyeti ameahidi kuanzisha timu ya mpira wa miguu ya mkoa wa Manyara.Mhe. Mnyeti ameyasema hayo wakati akikabidhi mipira kwa timu za vijana. Ikiwa ni ahadi yake aliyoitoa katika ziara zake wilayani Kiteto .


Akizungumza wakati akikabidhi mipira hiyo Ikulu ndogo ya Kiteto, Mhe. Mnyeti anasema” leo nawakabidhi mipira hii kama nilivyokua nimeahidi.Mipira hii ni kwa ajili ya mazoezi,baaye nitatoa jezi na vifaa vingine. Na nitafanya hivi kwa wilaya zote za mkoa wa Manyara.Baada ya hapo nitaandaa mashindano ya pamoja, mtacheza,nitaleta wataalamu watachambua wachezaji wazuri, hatimaye tutapata timu ya mkoa wa Manyara,timu hiyo haitakuwa na upande wowote,itakuwa ni ya mkoa mzima . Tutaomba kucheza na timu kutoka nje ya mkoa , wachezaji watakaa kambini na tutacheza . Nataka baadae tuwe na timu ya mkoa,timu ambayo itashiriki mashindano mbalimbali ya kitaifa.


Sambamba na kukabidhi mipira hiyo Mheshimiwa Mnyeti ametoa angalizo kwa vijana kwamba ,anataka wacheze kwa sababu michezo ni afya, michezo ni ajira,ni umoja na ni amani, lakini wasicheze wakati huu wa msimu wa kilimo badala yake waende shamba .Baada ya kilimo ndipo watoke wacheze  ili aweze kutekeleza ahadi ya kutafuta wachezaji wazuri kutoka katika timu hizo ndogondogo zilizopo wilayani hapa.


                                                                                                                                  ............. MWISHO ..............


Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA 11.06.2025 June 11, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA KAZI- MWENYEKITI BODI YA MFUKO WA ELIMU June 08, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI JUNI 2025 June 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 06, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI.

    June 12, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU 2025

    June 11, 2025
  • WATOTO WA UMISSETA KITETO, WAWATOA JASHO WATU WAZIMA!

    June 10, 2025
  • WALIMU KITETO WAPEWA MAFUNZO YA AFUA JUMUISHI ZA ELIMU YA AFYA SHULENI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa